Kwani uzee unataka kula na nani? πSasa lamomy mm nile ujana na nani kwa uzee huu?
Unakata tamaa mapema? Wengine wanasumbukia hadi miaka mitanoUzi nmeufunga lasmi stak yoyote acomment bint ana dharau
Mzee mwenzangu, laazizi! Habibtii FaizaFoxyKwani uzee unataka kula na nani? π
Yani moyo wangu umepata tulizo kwa hekima na mapenzi ya binti huyo wa kitanga.Oyoooooooo.!!! Kumbe we ni babu yangu? Bi fai nyanya yangu ujue ππ
Hela ipo kipenzi.. unataka nini? Kisiwa? Zizi la farasi au jet yako? Nn nikupe au shamba la minazi kiwengwa?Huna hela wewe. Utamuweza wapi Miss JF 2023/24?
πππEphen_ sio mwnamke mkuu utakuja kufelembwa bure
Hapo ndo pazuri mama, unastirika na tulizo la huba. Wazenji wanajua kuenziMhm! Mbona bibi wa zenji ππ
Hongera sanaI have never found the right words to tell or describe how I feel about you. I love you. I hope you know that my love for you grows with each breath in the depth of my heart. I love you always. I used to go to sleep every night, wishing to find true love. Every day I'd get more and more disappointed until I finally met you.
HahahaUnajitekenya halafu unacheka, utakuja kujinyea bure.