Lizzy una undugu na Marehemu Sheikh Yahya?..............hebu soma hapa chini.....Huyu ataishia kucheza machungani ng‘ombe wapotee....!
Ng'ombe wameibiwa babu
Orayt....kwahiyo mtafutano ulishaisha?.....Nami pia nakutafuta ujue.Asprin mi mzima wa afya rafiki... Asante kwa ujumbe but hizo salamu zilifika... hata hivyo siku hio Kaizer hakunipata mpaka ilibidi atinge home...
Hahhaha wengine ni mitihani isiyo na majibu!!!How is your saturday partner?!Bishanga hanaga matatizo mkisha fika a point wote mnakubali hua anayamaliza.... he is a good man... Kimbembe kipo kwa wengine...lol
Lizzy una undugu na Marehemu Sheikh Yahya?..............hebu soma hapa chini.....
Orayt....kwahiyo mtafutano ulishaisha?.....Nami pia nakutafuta ujue.
Lizzy una undugu na Marehemu Sheikh Yahya?..............hebu soma hapa chini.....
Orayt....kwahiyo mtafutano ulishaisha?.....Nami pia nakutafuta ujue.
Hebu nletee ule mkongojo wangu nimchape nao...........Babu kama wewe una undugu nae lazima na mimi nntakua nao japo sipendelei!!!
Hehehheh....mzembe sana huyo!!
Unasemaje Asprin??
Hahhaha wengine ni mitihani isiyo na majibu!!!How is your saturday partner?!
Nisemee hapa mbele ya watoto au nisubiri giza liingie walale?
Acha kabisa mpenzi... Enways saturday yangu leo iko slow but OK. Wewe leo wapi??
Una pound nini??? kwani umetajwa???
Asprin taratibu aisee... mi naona nimeahirisha sitaki tena kujua...
Lizzy una undugu na Marehemu Sheikh Yahya?...............
ile enzi kabla taleban hawajaikamata kandahar,siku hizi noma hakufai,full scholarship nafikiria Asha kumpeleka Universitat Monte Carlo principe de Monaco.
Namwonea wivu sana Lizzy...kuitwa cheo hicho hapo kwa red wikiendi kama hii, na mtu spesho kama Asha D, dhambi zangu zote zitafutwa!
Hahahaha...sikujua we mwoga vile.
Hivi leo jumangapi? Damn! Sasa nafanya nini hapa? Hii adiksheni ya JF hebu nipeni sumu ninywe....Khaa!