My Salute Kwa Wabunge:- That is How We Treat Traitors!!

My Salute Kwa Wabunge:- That is How We Treat Traitors!!

Joined
Apr 27, 2006
Posts
26,584
Reaction score
10,400
- Leo nimejionea kwa macho na masikio yangu Wabunge wanaomkumbuka Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, sikutegemea kua bado tuna Wabunge wenye Uzalendo wa kukumbuka tulikotoka hili Taifa. Kumbe bado tunao Wabunge wenye uchungu na Taifa letu, kumbe bado tunao Wabunge wenye kuelewa kwamba Duniani hakuna Serikali ya Jamhuri yenye Marais 3. - Warioba alipoteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Rasimu aliapa kwa kiapo kile kile cha Jamhuri, kwamba ataulinda Muungano kwa akili zake zote na nguvu zake zote, aliapa viapo hivi maisha yake yote mbele ya Mwalimu muasisi wa Muungano, sasa leo Mwalimu hayupo Warioba amebadilika hataki tena Muungano, halafu kibaya hajawahi kusema hadharani kuwa Mwalimu was wrong na Muungano, halafuhajawahi kutuambia hili Taifa kwamba huko nyuma alikuwa anaunga mkono Muungano na sasa hautaki, ila aemjificha ficha nyuma ya Rasimu na kutaka kupenyeza agenda yake ya kisaliti, bravo wabunge wangu leo nimejisikia vizuri sana na hasa imenikumbusha zile enzi za JKT nilipokuwa Oljoro Arusha kwenye "OPERATION TEKELEZA", - JAMANI WALE WOTE KAMA WARIOBA MNAOTAKA KUVUNJA MUUNGANO SUBIRI SISI WOTE TULIOPITIA JKT TUSIWEPO, NDIO MTAPITISHA UPUUZI WENU WA KUVUNJA KILA KITU: WARIOBA ALIKUW WAZIRI MKUU NA MAKAMU WA KWANZA WA RAIS ASIYETAKA MUUNGANO LAKINI HAKUSEMA HATA SIKU MOJA, ANAKUJA KUSEMA LEO TENA KWA KUJIFICHA NYUMA YA PAZIA LA RASIMU YA KATIBA, LEO AMEJIONEA MWENYEWE KWAMBA SIO WABUNGE WOTE NI SAWA WALE WANANCHI ALIOKUWA ANAWABURUZA KWENYE VIKAO VYAKE KULE MIKOANI. - KUTAKA SERIKALI 3 NI KUVUNJA MUUNGANO KWA KIONGOZI YOYOTE WA TAIFA ALIYEAPISHWA NA RAIS KUDAI HAYA NI USALITI, HENGERENI SANA WABUNGE WOTE MLIOSIMAMA KIDETE LEO, MTALIPWA NA MUNGU WA MBINGUNI TU WARIOBA NA KUNDI LAKE MTALIPWA HAPA HAPA DUNIANI KWA KUTAKA KUTUVURUGA SISI WANANCHI WA TANZANIA, MSHINDWE NA MLEEEGEEEE WOTE WASALITI WAKUBWA WA MWALIMU BABA WA TAIFA!! Le Mutuz
 
Huyo mwalimu ndio nani kwani!!!!

Sent from my GT-I9192 using Tapatalk
 
- Leo nimejionea kwa macho na masikio yangu Wabunge wanaomkumbuka Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, sikutegemea kua bado tuna Wabunge wenye Uzalendo wa kukumbuka tulikotoka hili Taifa. Kumbe bado tunao Wabunge wenye uchungu na Taifa letu, kumbe bado tunao Wabunge wenye kuelewa kwamba Duniani hakuna Serikali ya Jamhuri yenye Marais 3. - Warioba alipoteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Rasimu aliapa kwa kiapo kile kile cha Jamhuri, kwamba ataulinda Muungano kwa akili zake zote na nguvu zake zote, aliapa viapo hivi maisha yake yote mbele ya Mwalimu muasisi wa Muungano, sasa leo Mwalimu hayupo Warioba amebadilika hataki tena Muungano, halafu kibaya hajawahi kusema hadharani kuwa Mwalimu was wrong na Muungano, halafuhajawahi kutuambia hili Taifa kwamba huko nyuma alikuwa anaunga mkono Muungano na sasa hautaki, ila aemjificha ficha nyuma ya Rasimu na kutaka kupenyeza agenda yake ya kisaliti, bravo wabunge wangu leo nimejisikia vizuri sana na hasa imenikumbusha zile enzi za JKT nilipokuwa Oljoro Arusha kwenye "OPERATION TEKELEZA", - JAMANI WALE WOTE KAMA WARIOBA MNAOTAKA KUVUNJA MUUNGANO SUBIRI SISI WOTE TULIOPITIA JKT TUSIWEPO, NDIO MTAPITISHA UPUUZI WENU WA KUVUNJA KILA KITU: WARIOBA ALIKUW WAZIRI MKUU NA MAKAMU WA KWANZA WA RAIS ASIYETAKA MUUNGANO LAKINI HAKUSEMA HATA SIKU MOJA, ANAKUJA KUSEMA LEO TENA KWA KUJIFICHA NYUMA YA PAZIA LA RASIMU YA KATIBA, LEO AMEJIONEA MWENYEWE KWAMBA SIO WABUNGE WOTE NI SAWA WALE WANANCHI ALIOKUWA ANAWABURUZA KWENYE VIKAO VYAKE KULE MIKOANI. - KUTAKA SERIKALI 3 NI KUVUNJA MUUNGANO KWA KIONGOZI YOYOTE WA TAIFA ALIYEAPISHWA NA RAIS KUDAI HAYA NI USALITI, HENGERENI SANA WABUNGE WOTE MLIOSIMAMA KIDETE LEO, MTALIPWA NA MUNGU WA MBINGUNI TU WARIOBA NA KUNDI LAKE MTALIPWA HAPA HAPA DUNIANI KWA KUTAKA KUTUVURUGA SISI WANANCHI WA TANZANIA, MSHINDWE NA MLEEEGEEEE WOTE WASALITI WAKUBWA WA MWALIMU BABA WA TAIFA!! Le Mutuz
Rudi New York ukabebe maboksi wewe!!!
 
Huyo mwalimu ndio nani kwani!!!! Sent from my GT-I9192 using Tapatalk
- Sawa sawa ndio maana ninasema subirini kwanza mpaka wale wote tuliowahi kuishi under utwala wa Mwalimu tukiondoka ndio mtavunja kila kitu, not now!! Le Mutuz
 
- Leo nimejionea kwa macho na masikio yangu Wabunge wanaomkumbuka Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, sikutegemea kua bado tuna Wabunge wenye Uzalendo wa kukumbuka tulikotoka hili Taifa. Kumbe bado tunao Wabunge wenye uchungu na Taifa letu, kumbe bado tunao Wabunge wenye kuelewa kwamba Duniani hakuna Serikali ya Jamhuri yenye Marais 3. - Warioba alipoteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Rasimu aliapa kwa kiapo kile kile cha Jamhuri, kwamba ataulinda Muungano kwa akili zake zote na nguvu zake zote, aliapa viapo hivi maisha yake yote mbele ya Mwalimu muasisi wa Muungano, sasa leo Mwalimu hayupo Warioba amebadilika hataki tena Muungano, halafu kibaya hajawahi kusema hadharani kuwa Mwalimu was wrong na Muungano, halafuhajawahi kutuambia hili Taifa kwamba huko nyuma alikuwa anaunga mkono Muungano na sasa hautaki, ila aemjificha ficha nyuma ya Rasimu na kutaka kupenyeza agenda yake ya kisaliti, bravo wabunge wangu leo nimejisikia vizuri sana na hasa imenikumbusha zile enzi za JKT nilipokuwa Oljoro Arusha kwenye "OPERATION TEKELEZA", - JAMANI WALE WOTE KAMA WARIOBA MNAOTAKA KUVUNJA MUUNGANO SUBIRI SISI WOTE TULIOPITIA JKT TUSIWEPO, NDIO MTAPITISHA UPUUZI WENU WA KUVUNJA KILA KITU: WARIOBA ALIKUW WAZIRI MKUU NA MAKAMU WA KWANZA WA RAIS ASIYETAKA MUUNGANO LAKINI HAKUSEMA HATA SIKU MOJA, ANAKUJA KUSEMA LEO TENA KWA KUJIFICHA NYUMA YA PAZIA LA RASIMU YA KATIBA, LEO AMEJIONEA MWENYEWE KWAMBA SIO WABUNGE WOTE NI SAWA WALE WANANCHI ALIOKUWA ANAWABURUZA KWENYE VIKAO VYAKE KULE MIKOANI. - KUTAKA SERIKALI 3 NI KUVUNJA MUUNGANO KWA KIONGOZI YOYOTE WA TAIFA ALIYEAPISHWA NA RAIS KUDAI HAYA NI USALITI, HENGERENI SANA WABUNGE WOTE MLIOSIMAMA KIDETE LEO, MTALIPWA NA MUNGU WA MBINGUNI TU WARIOBA NA KUNDI LAKE MTALIPWA HAPA HAPA DUNIANI KWA KUTAKA KUTUVURUGA SISI WANANCHI WA TANZANIA, MSHINDWE NA MLEEEGEEEE WOTE WASALITI WAKUBWA WA MWALIMU BABA WA TAIFA!! Le Mutuz
You are less informed, kumbe hata kinachoendelea hujui.
 
Yaani unasifia huu ujinga uliofanywa na maccm wenzako? Mawazo ya wananchi mnataka kuyachakachua waziwazi bila aibu! Nimeamini chini ya katiba ya ccm hakuna katiba mpya bali ni maigizo matupu!
 
- Sawa sawa ndio maana ninasema subirini kwanza mpaka wale wote tuliowahi kuishi under utwala wa Mwalimu tukiondoka ndio mtavunja kila kitu, not now!! Le Mutuz

Lengo langu ni kutaka kujuwa ni Mwalimu gani huyo ambae hayupo laki bado anahusika na Mustakbali wa waliokuwepo.

Sent from my GT-I9192 using Tapatalk
 
Unajua kilichotokea bungeni leo na sababu yake?alafu ndo ulitaka kuwa mbunge wa EAC kwa ukurupukaji huu?una issue gani personal na Mzee Warioba?maana yake kilichotokea hakihusiani na serikali tatu numb head
 
We bonge kwani warioba si alitumwa akakusanye maoni mbona unamshambulia yeye binafsi?

Hatutaki huo muungano wenu,we uliona wapi muungano wa nchi 2 unakuwa na serikali 2?
 
Waxha wendawazimu wewe wabunge wamegomea warioba kuanza kuwasilisha kabla ya rais wewe
 
Kwanini mnampakazia mzee warioba? Hivi alijifungia chumbani kwake kuandika rasimu? Hivi kuteuliwa kuwa mwenyekiti ndio nongwa hadi alaumiwe binafsi kuwasilisha maoni ya watu aliowauliza? Tumtendee haki.mzee huyu na tujue kuwa nyererw sio Mungu na maneno na mawazo ya nyerere sio msahafu
 
Willy,sidhani kama Mph.Warioba amevunja ama ana nia ya kuvunja Muungano. Rasimu ni maoni ya watanzania waliofikiwa na Tume. Kurudi kwa Tanganyika si kuvunjika kwa Muungano,ila ni muundo wa kumaliza kero za muungano. Tanganyika iwepo,zanzibar iwepo... Kisha ama muungano wa mkataba/ shirikisho . Warioba hakuzomewa kwa maana ya traitors....ni kitendo cha Sitta kukiuka kanuni ambazo wao wenyewe walizipitisha. Aanze Raisi kisha Yeye apewe mud a wa kutosha kuwasilisha rasimu. Bunge lizinduliwe ndipo uwasilishaji uanze. Hili si suala la ushabiki.
 
- Leo nimejionea kwa macho na masikio yangu Wabunge wanaomkumbuka Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, sikutegemea kua bado tuna Wabunge wenye Uzalendo wa kukumbuka tulikotoka hili Taifa. Kumbe bado tunao Wabunge wenye uchungu na Taifa letu, kumbe bado tunao Wabunge wenye kuelewa kwamba Duniani hakuna Serikali ya Jamhuri yenye Marais 3. - Warioba alipoteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Rasimu aliapa kwa kiapo kile kile cha Jamhuri, kwamba ataulinda Muungano kwa akili zake zote na nguvu zake zote, aliapa viapo hivi maisha yake yote mbele ya Mwalimu muasisi wa Muungano, sasa leo Mwalimu hayupo Warioba amebadilika hataki tena Muungano, halafu kibaya hajawahi kusema hadharani kuwa Mwalimu was wrong na Muungano, halafuhajawahi kutuambia hili Taifa kwamba huko nyuma alikuwa anaunga mkono Muungano na sasa hautaki, ila aemjificha ficha nyuma ya Rasimu na kutaka kupenyeza agenda yake ya kisaliti, bravo wabunge wangu leo nimejisikia vizuri sana na hasa imenikumbusha zile enzi za JKT nilipokuwa Oljoro Arusha kwenye "OPERATION TEKELEZA", - JAMANI WALE WOTE KAMA WARIOBA MNAOTAKA KUVUNJA MUUNGANO SUBIRI SISI WOTE TULIOPITIA JKT TUSIWEPO, NDIO MTAPITISHA UPUUZI WENU WA KUVUNJA KILA KITU: WARIOBA ALIKUW WAZIRI MKUU NA MAKAMU WA KWANZA WA RAIS ASIYETAKA MUUNGANO LAKINI HAKUSEMA HATA SIKU MOJA, ANAKUJA KUSEMA LEO TENA KWA KUJIFICHA NYUMA YA PAZIA LA RASIMU YA KATIBA, LEO AMEJIONEA MWENYEWE KWAMBA SIO WABUNGE WOTE NI SAWA WALE WANANCHI ALIOKUWA ANAWABURUZA KWENYE VIKAO VYAKE KULE MIKOANI. - KUTAKA SERIKALI 3 NI KUVUNJA MUUNGANO KWA KIONGOZI YOYOTE WA TAIFA ALIYEAPISHWA NA RAIS KUDAI HAYA NI USALITI, HENGERENI SANA WABUNGE WOTE MLIOSIMAMA KIDETE LEO, MTALIPWA NA MUNGU WA MBINGUNI TU WARIOBA NA KUNDI LAKE MTALIPWA HAPA HAPA DUNIANI KWA KUTAKA KUTUVURUGA SISI WANANCHI WA TANZANIA, MSHINDWE NA MLEEEGEEEE WOTE WASALITI WAKUBWA WA MWALIMU BABA WA TAIFA!! Le Mutuz

:juggle: :flypig: :kev:😛layball::llama::llama::llama::violin::deadhorse::llama::deadhorse::llama::llama::bump2::bump2::flypig::tea::hippie::msela::msela::shetani::majani7:.......Huu ni mtazamo wako binafsi.. usimsingizie mwalimu wala Warioba... warioba hakujichagua kuwa mwenyekiti wa tume.. la sivyo mlaumu aliyemchagua... Warioba hakuandika rasimu peke yake alipita kwa wananchi na hayo ndio matakwa ya wananchi.... watanzania wa leo sio wale wa mika ya nyuma .. ni watafiti ni watu wasikubali kuburuzwa sio wanaoamuliwa .... kumlaumu warioba ni kumuonea... maneno yako uliyoyatoa pamoja na kejeli na matusi kwa Warioba ni ukosefu wa adabu na heshima kwa wakubwa ... umri wa Warioba unafanana na Mzee JS Malecela sio vizuri kutukanaa matusi ya kejeli kwa watu waliokuzidi umri na hasa ukizingatia wanaumri sawa na baba yako...

 
Popompo kweli...Aliyegomewa sio Warioba ni Samwel Sitta rafiki wa Mzee Malecela...Hivi nyie CCM mnataka kutufania nini Watanzania? Rasimu ya kwanza mliotoa maoni ni CCM ikaja na serikali tatu, rasimu ya pili mlifanya lobbying kwenye Mabaraza ya Wilaya ikaja serikali...Mmechakachua uteuzi wa wajumbe mmekwama kwenye kura ya wazi...sasa mnataka kupindisha kanuni mmekwama....NARUDIA TENA ALIYEGOMEWA NI SITTA...na hiyo ni hatari kwenu, watch out
 
Willy,sidhani kama Mph.Warioba amevunja ama ana nia ya kuvunja Muungano. Rasimu ni maoni ya watanzania waliofikiwa na Tume. Kurudi kwa Tanganyika si kuvunjika kwa Muungano,ila ni muundo wa kumaliza kero za muungano. Tanganyika iwepo,zanzibar iwepo... Kisha ama muungano wa mkataba/ shirikisho . Warioba hakuzomewa kwa maana ya traitors....ni kitendo cha Sitta kukiuka kanuni ambazo wao wenyewe walizipitisha. Aanze Raisi kisha Yeye apewe mud a wa kutosha kuwasilisha rasimu. Bunge lizinduliwe ndipo uwasilishaji uanze. Hili si suala la ushabiki.
- Wale wanaotaka Serikali 3 nia na madhumuni yao ni kuvunja Muungano, alianza Jumbe, akaja Sefu, sasa wao wasaliti I mean ni TRAITORS hawana jipya badala ya kutuletea mawazo mapya wanatuletea habari za kuvunja kila kitu, hapana sasa leo ndio wamejionea kwamba sio wananchi wote wa Tanzania ni wajinga wa kuyumbishwa yumbishwa na watu wachache wenye tamaa ya madaraka!! Le Mutuz
 
Back
Top Bottom