My Salute Kwa Wabunge:- That is How We Treat Traitors!!

Vilabu vingine hujua sana kuchanganya komoni lao likawa kali. Watu wanaotoka kwenye vilabu vya aina hiyo utawajua haraka sanai kwani huweza kuongea lolote kwa lugha yoyote hata wasiyoijua mradi tu maneno yao yawe yanafurahisha mioyo yao wakati huo ambapo kinywaji bado kipo kichwani.
 
- Mburulazzzzz wenzako wanalilia kuvunja muungano wapate madaraka wewe unalilia nini masikini wa mungu wewe kweli akili ni nywele wewe huna kabisa sijui hata huyo baba yako yukoje kichwani maana kama wewe ni zero mzazi wako je?

Le Mutuz

Huo muungano kwani ni mzazi wako au kabila lako? kama wananchi wakiona haufai si utatupiliwa mbali tu. Kwani hata ikitokea muungano ukivunjika kuna tatizo gani. Hivi kwanza kwa nini CCM mnaogopa kuuliza wananchi kama wanautaka muungano au la? mnaogopa nini? Inawezekana mnatetea kitu ambacho wananchi hawakitaki, Kuweni na guts za kuwauliza wananchi ili sasa mnapojifaragua kutetea Muungano muwe na mahali pa kusimamia. Nani kawaambia serikali tatu zitavunja Muungano? Twendeni na hizo mbili muone kama huu muungano utadumu kwa miaka mitatu.

Ni majuzi tu wazanzibar wamekuwa wanawachomea moto wabara biashara zao na makanisa yao. juzi wameuwa mapadri na kupigwa risaisi wengine. kisa Hawautaki muungano. haya bwana huo muungano wenu wa viongozi wa CCM bara na viongozi wa CCM zanzibar twendeni nao muone kitakachotokea! Kama wazanzibar hawautaki Muungano CCM mtawalazimisha?

Ishu ya Muungano si ya kulazimishana ndugu yangu. Ni kuulizana kwa maridhiano; Jamanie.. mwataka muungano au la...? Kama mwataka.. tuuendesheje na ukae katika mfumo gani basi. Sio kulazimisha. Hii nchi itawaka moto. ndugu zangu. Kama mnaogopa kuwauliza km wanautaka ama la basi potezeeni hilo na waulizeni jamanie .., tuukarabatije huu muungano ili pande zote zisiwe na manunguniko? By the way si ndio asilimia sitini walisema wanataka muungano wa nkataba, na huku bara wakasema serikali tatu? Wewe na maccm wenzako pambaf zenu..., manina zenu. Hovyo kabisa.

By the way yote haya yanatokana na kuongozwa na rais dhaifu asiye na maono na asiyeshaurika.
 

Mwalimu Nyerere ambaye Le Mutuz anataka kuonesha kwa kuasisi Muungano wa kiini macho anastahili atukuzwe tu alishasema maneno haya:
Muundo wa Muungano, pamoja na kwamba hatutaki uwe ukitibuliwatibuliwa mara kwa mara, ni suala la sera, si amri ya Mungu.Vyama vya siasa mbalimbali vinaweza vikawa na maoni mbalimbali kuhusu muundo unaofaa kwa Katiba ya nchi yetu. Muundo utakaokubaliwa na wananchi walio wengi ndio utakaokuwa sehemu ya Katiba ya nchi yetu. uk 18
 
Labda ni vizuri kukumbusha kwamba shabaha ya baadhi yetu ilikuwa nikuunganisha nchi za Afrika Mashariki ziwe nchi moja. Na wakati Zanzibar na Tanganyika zinaungana, Kenya, Uganda na Tanganyika zilikuwa katikati ya mazungurnzo ya kutafuta uwezekano, wa kuungana. Kama jambo hilo, lingetokea,nina hakika kabisa kwamba mfumo wa nchi mpya ambayo ingezaliwa ungelikuwa ni Shirikisho; au la Shirikisho la Nchi Tatu zenye Serikali Nne, na Shirikisho la Nchi Nne zenye Serikali Tano.Kwa kweli hata kesho Nchi za Afrika ya Mashariki zikiamua kuungana, na Tanzania ikawa ni mshiriki, naamini kuwa ni rahisi zaidi kushirikisha Tanzania yenye Serikali Mbili - ya Zanzibar na ya Tanganyika - kuliko Tanzania yenye Serikali Mbili, ya Tanzania na ya Zanzibar. uk 11
link Uongozi Wetu Na Hatma Ya Tanzania (by Nyerere)


Mwalimu alifanya kosa kubwa kuifuta(kuificha) serikali ya Tanganyika na baadae kufanya ukiini macho, mazingaombwe ya kulipoteza jina la nchi Tanganyika na kutuaminisha ni uhaini kulitaja au kuukosoa Muungano ambao siku zote umeonekana unaibua kero.

Kama umesoma hayo maneno ya Mwalimu hapo juu. Mwalimu alitambua mfumo sahihi wa Muungano unaoshirikisha nchi tofauti ni mfumo wa shirikisho na anaonekana kutubu dhambi ya kulifanyia mazingaombwe jina Tanganyika Kwa kusema kama Tanzania ina nia ya kuungana na nchi nyengine za Afrika Mashariki basi ni wepesi/rahisi zaidi kushirikisha serikali ya Tanganyika na serikali ya Zanzibar. Na sio serikali ya Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…