my sister anatafuta mume


Daah dili, kama unauhakika ana 6 au 8, niPM fasta .
 
mmmh!mungu niepushie mbali! ww mdada kuwadi sijawahi ona!! na ww nani atakutaftia???pia ujue kutofautisha nafsi kati ya ''NATAFUTA'' na ''NAMTAFTIA''
 
Baba wa huyo mtoto wake yupo wapi? Na mtoto ana umri gani?

baba wa mtoto yupo but they can't live together na huyo dada yangu alizaa akiwa mdogo sana akiwa 19, mtoto ana miaka 15.
 
mmmh!mungu niepushie mbali! ww mdada kuwadi sijawahi ona!! na ww nani atakutaftia???pia ujue kutofautisha nafsi kati ya ''NATAFUTA'' na ''NAMTAFTIA''

may b u got me the wrong way , mi sioni ubaya wowote mbona zamani wazazi walikuwa wanatafutia watoto wao wake au waume?
mimi sihitaji but hata nikihitaji nikitafutiwa fresh mradi nikimuona tukapendana wote hamna shida,
 
Hilo moja, la pili ni,wewe sio 'dada yako'?

my goodness! kwanini mtu akisema kwa niaba ya mtu mwingine watu wengi mnafikiri ni yeye? na kwanini akisema yeye hamsemi si yeye?
sio mimi believe or not
 
Nauliza kwa nini hapa jamvini kila mtu akipost oh mara rafiki yangu oh mara dada/kaka yangu kwanini usisema mie mwenyewe? kwanini kunatatizo gani??


hakuna matatizo na kama sio mimi niseme mimi?
 
Nahisi ni wewe unatafuta, unajaribu kutuzuga. Hivi ki ukwei kuna mtu anamtafutia mwenzie mchumba? Excuse us girl!


unahisi ni mimi it's not me my friend, hv mfano wewe una mchumba au mume but una rafiki yangu hana na yupo lonely huwezi ku m connect akikuomba na akiwa anahitaji boyfriend mchumba mume ?
 
Nahisi ni wewe unatafuta, unajaribu kutuzuga. Hivi ki ukwei kuna mtu anamtafutia mwenzie mchumba? Excuse us girl!
<br><br><br>unahisi ni mimi it's not me my friend, hv mfano wewe una mchumba au mume but una rafiki yangu hana na yupo lonely huwezi &nbsp; ku&nbsp; m connect akikuomba na akiwa anahitaji boyfriend mchumba mume ?
 
my goodness! kwanini mtu akisema kwa niaba ya mtu mwingine watu wengi mnafikiri ni yeye? na kwanini akisema yeye hamsemi si yeye? sio mimi believe or not
kwa sababu unakatabia hako ka kutumia nafsi za wenzio kumbe ni ww!
 
toa namba za mawasiliano kuna kaka yanyu wa miaka 39 anatafuta mke ila yeye ni mrefu, maji ya kunde na ni mfanya biashara pia hapo Morogoro. Hachagui dini wala kabila
 
Mi pia natafuta mke, na akiwa na mtoto sio mbaya maana na mimi pia ninae,
But hapo naona nitamezwa tu mimi na mtoto wangu, maana mimi nina miaka 31 wakati mtoto wangu ana miaka 12
 
this is somehow strange

anyway, kama unaweza, kwasbabu siku hizi wanaume wengi wavivu wa kutafuta sana.... awe anaenda church (kwa wale wapole) au anenda kwenye vijiwe kwa wale walafi
 
my goodness! kwanini mtu akisema kwa niaba ya mtu mwingine watu wengi mnafikiri ni yeye? na kwanini akisema yeye hamsemi si yeye?
sio mimi believe or not

Nasubiri jibu.
OTIS.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…