Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 752
I she married?:focus:
I she married?:focus:
Jamani atafuta tempo tu si hayo mengine please mwenye nafasi aniPM basi
Mfunyukuzi-nimemtafutia kazi,kama yuko tayari.
Anaweza kuuza duka duka la spares?Yuko mji gani na anaishi wapi(just area tu bila mitaa etc-tuangalie urahisi wa mitaa na logistics za usafiri?Na mshahara wa 70 elfu,masaa 8 kwa siku yuko tayari?Kama ni sawa ani PM.nimuelekeze. Kama sie kama yuko mtu wa elimu yoyote mwenye kujua hesabu za duka tu tuwasiliane-PM.Msinishambulie kwa sababu kiduka chenyewe faida kwa mwezi 180,000.
Picha ya nini tena mkuu wewe kama unamuhitaji sema nikurushie CV yakeRespect Mkuu
Natafuta legal advisor kwenye mambo ya kifamilia, anaweza nitumia picha yake kwanza halafu nitamjibu. Naweza mlipa 80,000 kwa wiki
Email: Masanilo@jamiiforums.com
Picha ya nini tena mkuu wewe kama amuhitaji nikurushie CV yake
Mkuu ni moja ya vigezo, mbona una wasi wasi na mchungaji!! CV iambatane na picha then nitawasiliana naye kwa usaili
Wakuu,
I have one of my sister, a second year law student in on of the private university seriously looking for a tempo or intern position so if you can assist her will be of great help.
Natanguliza shukruni.
MF
so do you want to marry her or what kaka jambazi?Sikuelewi hapo
Sorry it is lushe2010@yahoo.com