NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Sijaona sababu ya Simba SC kuendelea na kocha ambaye.
Kaipokea timu kutoka mikononi mwa kocha Mgunda na kuishia Robo fainali katika michuano ya CAF tena robo ambayo imezoeleka kila mwaka.
Robertinho kashindwa kuchukua hata kombe la kufutia machozi kwa mashabiki wa Simba kombe la shirikisho Azam kaishia nusu fainali kwa kichapo Cha mbili bila.
Kila nikimtazama Robertinho kwa mbinu zake naona kabisa Mashabiki wa Simba wanakwenda kulia kilio kingine (kilio Cha ukiwa) kisicho na kombe ndani ya kabati.
Nilichokiona kwa kocha Robertinho ana talent kubwa ya kujua kushangilia tu.
Kaipokea timu kutoka mikononi mwa kocha Mgunda na kuishia Robo fainali katika michuano ya CAF tena robo ambayo imezoeleka kila mwaka.
Robertinho kashindwa kuchukua hata kombe la kufutia machozi kwa mashabiki wa Simba kombe la shirikisho Azam kaishia nusu fainali kwa kichapo Cha mbili bila.
Kila nikimtazama Robertinho kwa mbinu zake naona kabisa Mashabiki wa Simba wanakwenda kulia kilio kingine (kilio Cha ukiwa) kisicho na kombe ndani ya kabati.
Nilichokiona kwa kocha Robertinho ana talent kubwa ya kujua kushangilia tu.