My wife, eti wanasema umeniweka kwa chupa...

amina Shosti,
ila ujue huyo ni shem wako,akikwambia kitu usichokielewa elewa uje umsemee kwangu!
sawa eeh!

hilo usijali kabisa ...
na samahani sana...
ningeyajua tokea mwanzo haya yasinge tokea....
 
duuuuhh kwa kweli samahani sana dada Cheusi mi hakuniambia yote hayo.....
haya vizuri kujua haya ntaanza kutoa mita kuanzia leo ...
nikimwona tu viatu mkononi...
sintosimama...

yaani wee acha tu Afro,nimetoka naye mbali sana,ngojea siku ntakuhadithia jinsi nilivyomvumilia kwa shida na dhiki ndio utaelewa kwa nini nina uchungu naye.haya ngoja nikajaribu kulala lkn sijui kama nitapata usingizi!
 
yaani wee acha tu Afro,nimetoka naye mbali sana,ngojea siku ntakuhadithia jinsi nilivyomvumilia kwa shida na dhiki ndio utaelewa kwa nini nina uchungu naye.haya ngoja nikajaribu kulala lkn sijui kama nitapata usingizi!

duuuuuhhh samahani sana mwaya...
yaani haya mwaya ngoja mi nikuache ulale ili kesho unipe stori zote..
kahanga mihogo ni ntalete chachandu .....


nway thanx for the chat sweety dreams..
 
Asante nami pia nakupenda zaidi ya roho yangu.
duuuhhhh kwa kweli ...hii tamu lakini ataipenda ...



Am smiling all right lol! umezidi utundu we binti hahaha!
hahahahhahaahha lol ......
 
Saa saba mbali kuna muda mwingi wa kulala i still need to smile lol!

yahaaa saa saba mchana alhamisi.........
lol mi ngoja nikimbie tutaonana baadaye ....
na we lala salama .......
:whoo::whoo:
 
We baki humohumo kwenye chupa lakini badili jina we sio shapu tena,Afrodenzi vipi ile signature nzuri imeenda wapi ? hii pia nzuri lakini ile ni zaidi au umeshapata ...
Aisee Uporoto unafanya nini na maza hausi wangu???
 

movie za ki nigeria bana wizi mtupu
 
hakuna cha chupa wala nini ni wasiwasi wako tu bro keep on praying to God. Hizo ni imani potofu, kwanza ww elimu ngani uliyonayo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…