My wife, eti wanasema umeniweka kwa chupa...

...heheheheeeeee.....fwifwifwifwi........! yashakuwa hayo tena? bora mwenzio nina story ya kudaivosi........!
 

hela yote ilikuwa inaishia kwa akina eliza mumewangu,imebidi nikuweke kny chupa....naona sasa tutajenga! :teeth::teeth::teeth:
 
...heheheheeeeee.....fwifwifwifwi........! yashakuwa hayo tena? bora mwenzio nina story ya kudaivosi........!

Heee kijana ndo lugha mambo gani ya kudaivosi! Mm nishakubali kabisaa niwekwe kingi ndani na 18. So long tunajienjoy...mbona hizo za kuvunjika vunjika hujaziweka bayana? Btw am back.
 
hela yote ilikuwa inaishia kwa akina eliza mumewangu,imebidi nikuweke kny chupa....naona sasa tutajenga! :teeth::teeth::teeth:

Ni kweli mamsapu wangu, nadhani umeona hata juzi tu tulianza kuulizia viwanja kwa akina next level. Sasa mambo si hayo??? Ka usingeniweka kwa chupa tutaishia humu mabanzini na kodi kila mwezi juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…