Kuna wanaume wengine wanaoharibu sifa ya kuwa waume, moja wapo ni wewe. oa wako piga ua halafu tukukute Segerea ukinyea debe. Unaharibu sifa za ukoo wa LaswayAnaleta wivu wa kubomoa huyo na anataka akupande kichwani,pigaaaaaaa.....
Kumnunulia zawadi ni sawa na kumrubuni akusamehe. Omba msamaha wa kweli na wa dhati. Ila kama hukukusudia do not waste your precious energies because in her eyes you are a very different man na kamwe hutoweza kurudisha pendo lile alilokuwa nalo hapo kabla ya kumdunda.Mtafutie zawad nzuri anayoipenda na umwombe msamaha,mpe maneno matam na muahid mambo mazuri,ikiwemo kutompiga tena..mwambie ye mtam,hutoweza msalit,umemchagua yeye,msingzie shetan kuwa ulipitiwa na hasira coz anakusingizia..inshort JiSHUSHE..tafuta furaha ya ndoa yako..Leo ni siku ya kucheka kwa afya duniani,.
Kweli nijijitahidi sana kumuelezea hakuelewa ilichofuata ilibidi nitoe KIPONDO. Shida ya wanawake wetu wa kiswahili wanaishi kwa kuhisihisi tu.
Mwanamme wa kweli hapigi Mwanamke, Mkuu inabidi uende ukamumbe samahani kwa kumpiga. Kama ungekuwa huku ughaibuni ungeamkia polisi. Pumbafuuu Yakoo, huoni hata aibu kuja kusema umempiga mke wako. Watanzania wengine akili zao ziko hovyo sana kama ndugu wa Magogoni.
Mtafutie zawad nzuri anayoipenda na umwombe msamaha,mpe maneno matam na muahid mambo mazuri,ikiwemo kutompiga tena..mwambie ye mtam,hutoweza msalit,umemchagua yeye,msingzie shetan kuwa ulipitiwa na hasira coz anakusingizia..inshort JiSHUSHE..tafuta furaha ya ndoa yako..Leo ni siku ya kucheka kwa afya duniani,.
Guys my day has been spoiled by my beloved wife. Jana jioni nili mdrop home then mimi nikageuza kwenda Club kupiga story kidogo japokuwa nimesimama pombe sababu za kiafya. Dont think if this could be an excuse ya mimi kuto hang kabisa na friends. Later alinipigia just to check my position. I told her where I am and she knows the joint. Alikuwa kama haamini vile but I told that I am there and she could just walk in if she feels like. Hakuja ila nami nilikaa mpaka around saa nne usiku then I went back home.
Asubuhi hii eti analeta zangwe kwamba nilikuwa na mwanamke ndio maana nili mdrop haraka haraka na kurudi town. Kweli nijijitahidi sana kumuelezea hakuelewa ilichofuata ilibidi nitoe KIPONDO. Shida ya wanawake wetu wa kiswahili wanaishi kwa kuhisihisi tu. Kweli nimekasirika sana and my whole day is spoiled.
Analeta wivu wa kubomoa huyo na anataka akupande kichwani,pigaaaaaaa.....
Mtafutie zawad nzuri anayoipenda na umwombe msamaha,mpe maneno matam na muahid mambo mazuri,ikiwemo kutompiga tena..mwambie ye mtam,hutoweza msalit,umemchagua yeye,msingzie shetan kuwa ulipitiwa na hasira coz anakusingizia..inshort JiSHUSHE..tafuta furaha ya ndoa yako..Leo ni siku ya kucheka kwa afya duniani,.