My Wife Jamani

Atakuwa anakuibia kwa sasa...! Japo, utulize presha.
:smile-big::smile-big:

Presha sina kabisaa, na wala sijawahi kumhisi vibaya mke wangu! Tumeshazeeka sisi, kazi kwenu vijana.
:confused2::confused2:


Laiti ungejua jinsi wake za watu waliozeeka walivokuwa watamu:welcome::welcome:
 
hongera sana kaka naimani nami ana niwaza na kunipenda
 


Finest, thanx for the song's lyrics. Such beautiful words! Haya, Shime wanaume wenzangu, tuyasome tena na tena na tena...kisha tuyafanyie kazi.

 
waoooh hadi raha...
keep it up amoeba...
for sure,she is luckiest woman to have you!:smile-big:
 
:A S 8::A S 8::A S 8::A S 8:

To all WIVES out there..........................We really love YOU ......................Tunaomba Muamini hivyo....................haya mengine ni vijimambo tu!:A S 8::A S 8::A S 8:
 

Ha haaaaaaaaaa, I like this. Keep it up Amoeba!!!!!!!!!!
 
hongera sana, mens ni wazito sana kuaddimit wanachofil. wewe ni mwanaume ktk wanaume!

Lady N wanaume siku hizi wamebadilika, wanasema wanachofill. naona utandawazi umesaidia
 

Congrats Amoeba for such a feeling to ur wife, God bless you and keep you to be like this forever!
Good!
 
Hello wakuu,
Unajua kwa sisi wabantu huwa hatukosi maneno ya kuongea! watu wakiona uko klozi sana na mamsapu watasema tuu....(kama baadhi wanavosema humu ndani, teh teh). Nispompenda mke wangu nitampenda nani sasa? Hata wanangu ntashindwa kuwapenda kama simpendi mama yao!, teh teh! Yeye ndy anafahamu ABC zangu. Amini mkuu nakuambia, kila nikiona mwanamke mzuri barabarani mzuka unahamia kwa wife! kama ni limbwata-hapo lilipo linafanya maisha yanakuwa mazuri sana! Amini nakwambia, anachakia kiasi kikubwa sana katika mafanikio yangu, IM REALY PROUD OF HER!
 
Yaani hapa nilipo Mama NyU yuko kwenye akili yangu! I love her because she is a Good Wife and Good Woman! Thank God for mama NYU
 
 
 
Mkkuu umefufuka? Karibu sana jamvini! Vp mama ndubwi mzima? watoto je?
Mkuu nipo ila busy na mchakato wa kumpeleka Dr. Ikulu, mama ndubwi mzima ila anakutajataja kila siku.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…