Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Mpenz wangu,ambaye ndiye mtarajiwa wangu nampenda sana but problem ni kwamba kinywa chake huwa kinatoa harufu flan mbaya but huwa naogopa kumwambia! Ni kwamba me na yeye hatuish pamoja,but weekends ndo huwa anakuja kwangu kupeana mamboz. Asubuh anapokuja mdomo wake huwa unakuwa fresh kabisa,but time zinaposonga na kukaribia mchana flani hali ya mdomo inabadilika kabisa! Ikifika saa 12 jion hata kula denda inahitaji ukauzu!! Yaani mabao ya kuagana jioni huwa nayapiga kwa doggystyle ili kuepuka kufaceana naye! Napata shida sana wakuu coz naona noma kumwambia and naogopa ugomvi! Nakumbuka kuna siku ki2mbua chake kilikuwa kinatoa haruf flani si ya kivile,nilipomwambia lol ugomvi ulidumu kama mwezi eti alisema nimemdharau! Kuna siku aliniambia anaenda hospital coz alikuwa ana matatizo ya meno, so nikawaza labda hayo matatizo yanasababisha!? Kwa anayeweza kuniambia ili tatizo linatokana na ni and vipi naweza kumtupia maukweli bila chenga aniambie wazee!! Nimechoka kula doggystyle kila ifikapo jioni au kuskip denda session! Gal nampenda wazeya