My wife to be ananuka mdomo,naogopa kumwambia!!

My wife to be ananuka mdomo,naogopa kumwambia!!

Naipendatz

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2011
Posts
5,096
Reaction score
8,234
Mpenz wangu,ambaye ndiye mtarajiwa wangu nampenda sana but problem ni kwamba kinywa chake huwa kinatoa harufu flan mbaya but huwa naogopa kumwambia! Ni kwamba me na yeye hatuish pamoja,but weekends ndo huwa anakuja kwangu kupeana mamboz. Asubuh anapokuja mdomo wake huwa unakuwa fresh kabisa,but time zinaposonga na kukaribia mchana flani hali ya mdomo inabadilika kabisa! Ikifika saa 12 jion hata kula denda inahitaji ukauzu!! Yaani mabao ya kuagana jioni huwa nayapiga kwa doggystyle ili kuepuka kufaceana naye! Napata shida sana wakuu coz naona noma kumwambia and naogopa ugomvi! Nakumbuka kuna siku ki2mbua chake kilikuwa kinatoa haruf flani si ya kivile,nilipomwambia lol ugomvi ulidumu kama mwezi eti alisema nimemdharau! Kuna siku aliniambia anaenda hospital coz alikuwa ana matatizo ya meno, so nikawaza labda hayo matatizo yanasababisha!? Kwa anayeweza kuniambia ili tatizo linatokana na ni and vipi naweza kumtupia maukweli bila chenga aniambie wazee!! Nimechoka kula doggystyle kila ifikapo jioni au kuskip denda session! Gal nampenda wazeya
 
we nenda kwa madentist watakusaidia au mnunulie mouth wash zinapatikana supermarket au maduka ya madawa..
 
Tatizo step ya 1 ya kumwambia ukweli naye aukubali bila kufeel kudharauliwa or something ndiyo ngumu
we nenda kwa madentist watakusaidia au mnunulie mouth wash zinapatikana supermarket au maduka ya madawa..
<br />
<br />
 
Mkuu hili ni tatizo
Ila kabla sijatoa ushauri niseme tuu kwamba kuna mambo ya ndani ambayo kabla ya kuyafikisha nje inabidi uongee na mwenzako. Na kuna njia ya kufikisha ujumbe. Sio ile kiwazi wazi kuwa aise mdomo wako unanuka au huko chini kuna harufu. Kuna namna ya kumwambia mwenzako asijifeel amedharaulika au umemdharau.
Nenda kwa dentist kuna dawa nyingi tuu na dawa za meno ambazo utaosha nazo mdomo na zitaondoa harufu
 
Hii issue ni muhimu uitafutie mbinu ya kumwambia, ikibidi nunua dawa na we uwe unaitumia akiwepo na unamweleza kuwa huwa inazuia mdomo kunuka.
Naskia pia unaweza kuswaki kwa kutumia maji yenye chumvi inasaidia, unahakikisha unasugua ulimi vizuri.
 
Dah hapo mnaambukizana magonjwa ,mwambie aache kula chips maharage na maziwa mgando,mwanamke usafi bana
 
Weka appointment na dentist wewe pamoja na mke wako kusafishwa meno lakini mwambie dentist kwamba mdomo wa wife unanuka na dentist atamweleza afanye nini. Hii itatoka kwa dentist kwani wewe huna uhakika na sababu inawzekana kuna jino limekufa, inawezekana mlimi una kusanya acid nyingi, inawezekana anakula nyakula nyewe vitunguu n.k hivyo ongea na dr kwani tatizo linaweza likawa kubwa kuliko usafi
 
Kiukweli MMU IMEINGILIWA.<br />
Mimi nikiwa kama mdau wa humu,kuna kama upepo mchafu wa pwagu na pwaguz uliopuliza jukwaa hili.<br />
Mbona mada za kuwadhalilisha wanaovaa sketi zmezid?<br />
Mara wangu ana BWECHE KUBWA.<br />
<br />
Mara Wangu ANA MBUNYE YENYE MAJI.<br />
Tunaenda wapi jamani?<br />
WeWE nawe umekuja na wako AnaNUKA MDOMO.<br />
Jamani huu sio mwendo wa kujivunia hata kidogo.
 
Are you sure unapenda huyo dada?? Siamini kama ungempenda ungeweka hii topic hapa....
 
Kiukweli MMU IMEINGILIWA.<br />
Mimi nikiwa kama mdau wa humu,kuna kama upepo mchafu wa pwagu na pwaguz uliopuliza jukwaa hili.<br />
Mbona mada za kuwadhalilisha wanaovaa sketi zmezid?<br />
Mara wangu ana BWECHE KUBWA.<br />
<br />
Mara Wangu ANA MBUNYE YENYE MAJI.<br />
Tunaenda wapi jamani?<br />
WeWE nawe umekuja na wako AnaNUKA MDOMO.<br />
Jamani huu sio mwendo wa kujivunia hata kidogo.

Umejiunga tarehe 30 mwezi wa 7, 2011 na unadiriki kusema MMU imeingiliwa? Au upo humu tokea zamani na kilichobadilika ni ID tu?
 
Umejiunga tarehe 30 mwezi wa 7, 2011 na unadiriki kusema MMU imeingiliwa? Au upo humu tokea zamani na kilichobdilika ni ID tu?


Hivi hujagundua saizi tuna members wengi kweli MMU ambao ni wapya alafu hua wana refer mambo ya nyuma kuonesha dhahiri mwenyeji.... kuna mmoja alikua na post 7 alafu aka comment kwa one of the MMU members kua anatambua kua ni mbishi saana...
 
Kwanza unanishangaza kumwogopa mkeo,kama ndivyo ilivyo nenda kwa wataalam mtafutie dawa za mdomo mpe kama zawadi mwambie atumie.
 
Siku zote anayenuka mdogo hajijui huenda pia unatatizo hilo la kunuka mdomo ninakushauri si vema ukaleta thread kama hi hapa kwani tatizo hili wakati mwingine ni la kiafya linahitaji tiba ya kitaalamu ikiwa ni mpenzi wako ni suala la kuwasiliana naye ujue tatizo ni nini then umsaidiane jinsi ya kupata matibabu.
Pia lugha uliyoitumia ni mbovu na haina heshima inaonekana wewe ni mchanga katika mapenzi au your not mature enough in love, acha ujinga!
 
Tatizo step ya 1 ya kumwambia ukweli naye aukubali bila kufeel kudharauliwa or something ndiyo ngumu&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
<br />
<br />
tatizo ni kwamba we nae unamnyenyekea mno huyo dem wako, kama unaogopa kuharibika mambo ni bora ukamwambia yaharibike ili ujenge upya.
Mwambie hata kama atachukia lakini ujumbe atakuwa ameupata.
 
Awe anatafuna sana jojo afu apunguze kula kachumbali hasa yenye vitunguu.
 
Back
Top Bottom