My Wife wa rafiki yangu anataka nimchakachue

Mpotezeee huyo ni shetwaiiin mkubwa.
Ashindwe na apalalaizi.
Kutembea nae na wewe utajishusha hadhi vile vile.
Heshima haipandi kwa kuendekeza ngono. Khaa!
 
Hawajafunga ndoa mkuu ila wanakaa pamoja

Sasa kukaa pamoja ndio kisha kuwa wife? Wewe kula tu, na kama hujamla huyo demu atakutangazia kuwa hufai. Hata kama wa ndoa we kula tu, si anataka mwenyewe! Kwani unambaka?
 
Sikiliza, kuna kabila hapa Tanzania kuchakachuliana ni kitu cha kawaida kabisa. Kwa hiyo hilo lisikustuwe, we lamba tu.

Halafu, kuna mambo ya kisaikolojia, pengine huyo rafiki yako anapenda huyu demu achakachuliwe halafu ampe laivu ndio jamaa ashki zake, kwani utaona anamuachia wikiendi nzima akajirushe bila wasiwasi, wewe ushajiuliza kwa nini?

Jibu ni simpo tu, huyo jamaa anapenda demu wake achakachuliwe aje kumpa laivu, si unajuwa kila mtu na raha zake!
 
Mpotezeee huyo ni shetwaiiin mkubwa.
Ashindwe na apalalaizi.
Kutembea nae na wewe utajishusha hadhi vile vile.
Heshima haipandi kwa kuendekeza ngono. Khaa!
nitajitahidi ili ashindwe
 
Sasa kukaa pamoja ndio kisha kuwa wife? Wewe kula tu, na kama hujamla huyo demu atakutangazia kuwa hufai. Hata kama wa ndoa we kula tu, si anataka mwenyewe! Kwani unambaka?
Poa ngoja nipange mikakati ya kumdinya
 
Inaweza kuwa hivyo labda jamaa mpaka ahadithiwe ndio am do huyo my wife wake.bac itabidi nimchakachue kumuokoa jamaa.
 
uamuzi unao mwenyewe mpendwa maana kila kitu kiko wazi hapo,nilidhanio wewe ndo wa kwanza kumbe wako wanaochakachua hapohapo na hajaridhika nao,hicho ni zaidi ya kicheche:rain:
 

Those who live in glass houses should not throw stones...!
 

Hapo penye red ndo kwenye mtihani sasa, hasa kama adhabu yenyewe ni kuliwa naniliu...! :wink2:
 
mkuu nimekupata vilivyo
nafiki sio busara kutembea na mke wa rafiki yako.na ni hatari pia kama huyo rafiki yako atagundua huo uovu,
nakushauri kaa nae mbali kabisa ndugu,usiwe mwepesi kiasi hicho,mbona madem wamejaa mtaani ndugu,
mheshimu sana huyo shem wako kama unavyomheshimu mke wako
chao!
 
da namwonea huruma huyo jamaa ila ndugu yangu kumchakachua haifai japo kashakua jamvi la wote.
 
Hahahahaha hafi mtu hapa,wote 2ko macho

Hiyo overconfidence yako ndiyo itakumaliza rafiki.

Jee condom ikipasuka au ikichomoka wakati wa hiyo shughuli utasema nini? Na kama anajijua yuko kwenye mtandao anaweza kukufanyia mission ya makusudi na wewe ukafikiria ni bahati mbaya.

Au ikiwa wanashirikiana na huyo jamaa halafu wakaja kukublackmail?

Kijana huyo Ibilisi atakuja kukuruka na kukwambia "mimi simo" wakati mambo yakishaharibika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…