My Wife wa rafiki yangu anataka nimchakachue

uamuzi unao mwenyewe mpendwa maana kila kitu kiko wazi hapo,nilidhanio wewe ndo wa kwanza kumbe wako wanaochakachua hapohapo na hajaridhika nao,hicho ni zaidi ya kicheche:rain:
Hakuna maneno nitachukua maamuzi ya busara
 
Bac sintomdinya asije akanipa kmeta
 
Hiyo heading ya thread imeniacha njia panda hasa hapo kwenye red. My Wife wa rafiki yangu anataka nimchakachue
Lugha iliyo2mika ni Kiswanglish cha mitaani
S
 
huyo jamaa alikufundisha kuiba hana maana, kama vipi muibie na mke Pia. maana ninyi wote hapo ofisini kwenu yaelekea mnaendekeza sana ufirauni.. Kupumbuana tu!
Kweli itabdi nimuibie inawezekana ndiö ananipa test mwanafunzi wake kama niko fìt au la
 
Ushauri mzuri nitawaambia jamaa wakapme
 
mchunguze rafiki yk vizuri usikute kawekewa limbwata, haiwezekani mwanamke wk end akajirushe, jamatatu apitie kazini huko huko, then eti jamaa bado anampenda tu!!
C bure itakuwa miti shamba imemchakachua tu
 
Hebu tazama nilipo-highlight red. Ati! alikufundisha nini? Kumbe wote si waaminifu????
 
Nashukuru kwa ushauri wako nasaha
 
Jiheshimu usije juta. Juzi nilihudhuria mazishi ya mke wa rafiki yangu, huyo marhemu unaambiwa alikuwa kicheche na kupenda kukumbatia watu na wakati mwingine kushika nani hii za wanaume ili wamdinye. Kwa kweli watu wengi na marafiki wa huyo mume wake walimtia sana huyo dada. Kwa bahati mbaya huyo dada alikuwa muadhirika. na mara nyingi ndugu wa huyo marehemu walimsihi sana mumewe kuachana na msichana huyo, lakini mwanaume hakukubali. Je unadhani hao waliotembea na msichana huyo ambae ni marehemu wako kwenye hali gani? Na je wewe umejifunza nini kwa huyu marehemu.
 

usithubutu kabisa kummega huyo demu wa mshikaji wako, ni mbaya sana, huyo demu ana pepo wa ngono, wala jamaa yake usimwambie mwache aone mwenyewe na aamue mwenyewe ukimwambia anaweza kumuacha halafu demu akakulaumu wewe
 

Mdinye na liwalo liwe - Msinyimane!
 
Hadithi hii imenitia uwoga wa kumdinya huyu demu
 
katika story yako yooote mi imeniuma kwenye kufundishwa kuiba kiwandani tu......ole wako nijue unafanya kazi TANESCO maumivu yangu ya mgao wa umeme nitakumalizia wewe.
Nimeajiriwa ilì kutia wingi kwenye maandamano ya kupinga ugumu wa maisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…