My Wife wa rafiki yangu anataka nimchakachue

Nashukuru kwa ushauri wako,nitaendelea kumuheshimiwa mshkaj
 
RED:Kwa hiyo unastahi shemeji kwa sababu ya dhambi hii au nafsi inakusuta...?:A S 13:
Jamaa namkubali mno, c unajua mie naingia pale wa2 wanaiba kinoma halafu mie wakanibania jamaa ndio akanifundisha kuiba ndio maana namkubali
 
kaka, muogope huyo demu kama ana ukoma!!!!
kwani demu au mke wa mshikaji ni noma saaana!
pia kwakuwa ana dinywa na watu kibao huenda tayari ana "tanesco"mwilini.
achana nae !! ikibidi mchane kabisa kuwa akizidi utamwambia mmewe!
Hamna noma kaka nitamchunia
 
usithubutu kabisa kummega huyo demu wa mshikaji wako, ni mbaya sana, huyo demu ana pepo wa ngono, wala jamaa yake usimwambie mwache aone mwenyewe na aamue mwenyewe ukimwambia anaweza kumuacha halafu demu akakulaumu wewe
Nashukuru kwa ushauri makini
 
mpotezee lakini acha wizi ,sifa jmbaya hiyo!
 
kaka usiingiwe na shetani kwa kumtusi mke wa nduguyo, kumbuka unayo fanya kwa watu nawe utafanyiwa, angalia wako naye asije akagongwa na jamaa yako.KImsingi msaidie rafiki yako kiilinda ndoa yake na mpe live huyo shemeji yako tena mchana peupe na mbele ya watu wake. Kuwa jasili unajua wewe tu ndiye uliyebaki kuiponya ndoa Hiyo?
 
Hamna noma nitamchana live
 
Kufanya kazi ya Mungu siyo mpaka kwenye nyumba za kuabudia. Hongereni sana JF great thinkers. Watu wamemshauri huyu ndugu kwa busara sana na kwa moyo wao wote, nami naunga mkono hoja zao: Kaa mbali na huyo mwanamke tafadhali. Kikubwa tu usije kuwa ulishaharibu then ukaja kutafuta ushauri!!
 

mkuu ninakupa thanks hapo
 
Jamaa namkubali mno, c unajua mie naingia pale wa2 wanaiba kinoma halafu mie wakanibania jamaa ndio akanifundisha kuiba ndio maana namkubali
hujajibu swali langu.... wamstahi mkewe kwa vile alikufundisha wizi.. au dhamira yako ndo inakusuta kufanya uzinzi..?😡
 
hujajibu swali langu.... wamstahi mkewe kwa vile alikufundisha wizi.. au dhamira yako ndo inakusuta kufanya uzinzi..?😡

dhamira yangu mwenyewe ndiyo inayonisuta kufanya uzinzi na huyu bibie
 
Hahahahaaaa!umenifurahisha sana leo washawasha,(MY WIFE)wa rafiki yako! Heading iko sahihi hiyo?
 
Hahahahaaaa!umenifurahisha sana leo washawasha,(MY WIFE)wa rafiki yako! Heading iko sahihi hiyo?
Hii inatokana na development ya maendelëo yetu ya lugha.. Jina la lugha:Kiswanglish cha mitaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…