My x is making me mad!


Lizzy umekuwa mkali kweli siku hz.....
 
We ndio useme kama umetumwa kupost.
Hamna anaeweza kunipangia nichangie au nisichangie, na ungetaka nisichangia ungeianzisha PM. Kuhusu kufuatilia hamna haja ya kufuatilia pumba, zikiwekwa kwenye maji zinaelea zenyewe.
​muulize ka ana hati miliki ya hii thread ndo apangie watu kuchangia au kutochangia
 
Hahaha,eti kapauka kama muogo,duuh,kali kweli kweli...aah,wengine noma unakuta ukimuacha tu anazidishine mbaya...halafu usikute anafanya kazi ya maana.duuh..hapo ndo mmh!.

Hapo sasa. Ila pia naambiwa wao ndo wabaya zaidi coz mkibreak up yaani atatamani hata ufungwe maisha jela yaani full kukuombea mabaya tu, ingawa wachache huweza kuweka pembeni visasi na visilani vyao
 
Hapo sasa. Ila pia naambiwa wao ndo wabaya zaidi coz mkibreak up yaani atatamani hata ufungwe maisha jela yaani full kukuombea mabaya tu, ingawa wachache huweza kuweka pembeni visasi na visilani vyao

Yote life mkuu.wapo wengine wanasepa kizungu kishenzi.Hata goodbye card ataku2mia..
 
Labda bwana wake yupo nje ya nchi na ameamua kujiheshimu.

Au hakupendi kimapenzi bali kiurafiki.

Sasa wewe ndie wa kumove on tafuta wa kwako. Yeye anaendelea kuongea nawe sababu ameshakuambia na anajua umeelewa.

Au duh labda ulikuwa haumrizishi na mambo yako hakuyapenda, yaani hukumrusha roho kwa mengi

Good luck ila ukijilazimisha ndo utampoteza kabisa hata urafiki

Tafuta wako mpya
 

Haya mkuu nimekupata
 
We ndio useme kama umetumwa kupost.
Hamna anaeweza kunipangia nichangie au nisichangie, na ungetaka nisichangia ungeianzisha PM. Kuhusu kufuatilia hamna haja ya kufuatilia pumba, zikiwekwa kwenye maji zinaelea zenyewe.

Astagafilulah! Loh!
 

swali la kujiuliza hivi ni sahihi kwa mbwa kurudia kulamba matapishi yake mwenyewe?
 

We ndio useme kama umetumwa kupost.
Hamna anaeweza kunipangia nichangie au nisichangie, na ungetaka nisichangia ungeianzisha PM. Kuhusu kufuatilia hamna haja ya kufuatilia pumba, zikiwekwa kwenye maji zinaelea zenyewe.

Ntashobokaje na CRAP bana?

Hutaki ujinga na wewe ni mjinga?

Hata miye sasa nakuogopa...........................mbona unakuwa mkali hivyo kwa mwenzio....................hata kama kakosea huwezi kumrudisha kundini kwa heshima na adabu hadi umkaripie mwenzio hivyo?

Are you still oozing with sarcasm?
 
Hata sijafuatilia, sema hiyo jana na mie nilikua nachangia hiyo thread nyingine.

Kande Kavu ni kuwa lizzy hana ule mtambo ambao unausaka kwa udi na uvumba...............
 
Jitambue kwanza wewe mwenyewe kuwa unahitaji nini hasa, ukishagundua angalia kama anacho, kama ndio jipange for cherish, na achana na ukware
Ongea naye kaka,
 
Cha Msingi ni hivi
Tafuta Siku ya Kukutana nae na rudisha Mambo ya Nyuma kidogo na Kipindi hicho hicho umwambie lililopo Moyoni ila atagoma na hapo ndipo inabidi utumie Ubembelezaji na kama hampendi sana huyu bwana wake mpya basi jua kabisa tegemea Kutikisa wavu.
 
unaomba watu wakuchagulie nafsi yako inataka nini?wewe utakuwa mwehu
 
Hata miye sasa nakuogopa...........................mbona unakuwa mkali hivyo kwa mwenzio....................hata kama kakosea huwezi kumrudisha kundini kwa heshima na adabu hadi umkaripie mwenzio hivyo?

Are you still oozing with sarcasm?

Hehehehe. . . ungekua unaniogopa sidhani kama ungeuliza maswali yako.
 

by
G.juma
mwanangu fatahisia zako coz natambua kuwa siku zote bwana Chriss mtu hupenda kusikia moyo wake unachorizia hivyo nikikushauri ufuate gf wako utafeel happy coz ndo unachokitaka so nakushauri usimsumbue na uheshimu feelings zake may be yuko happy coz yuko mbali na mateso ya mahusiano aliyoyapata pindi ukiwa nae so mpe nafasi a spend na mchumba wake.
 
kama unampenda muambie pengine naye anakupenda ila kanyamazia tu............so open ur mouth an start talking b4 someone else
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…