Hivi wanaume wanaokataa mimba bado wapo?dunia hii vijana wanaokufa kwa bidii hivi?
You just help her ikibidi mpeleke kabisa ili kama anania ya kutoa usijetupiwa lawama..kwa kumpa hela
Msaidie kama uwezo unao. . .hamna cha kuombea ushauri hapo.
Wewe Swts wanaume wa kukataa mimba wataisha dunia ikiisha...lol
Siku hizi hua naona wanaume wengi wanapenda watoto kumbe kuna wachache bado wapo na wamazo ya karne ya 18..anyway kama umeshamsadia be blessed