my x - is pregnant and she needs my help..

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
37,630
Reaction score
47,434
..........................................
 
Msaidie kama mwanadamu mwenzako tu!
 
Hivi wanaume wanaokataa mimba bado wapo?dunia hii vijana wanaokufa kwa bidii hivi?
You just help her ikibidi mpeleke kabisa ili kama anania ya kutoa usijetupiwa lawama..kwa kumpa hela
 
Mkali wa Kitaa... That is good of you. unavotaka ushauri hapa unazidi
poteza mda, wewe msaidie kama ipo ndani ya uwezo wako.
 
Hivi wanaume wanaokataa mimba bado wapo?dunia hii vijana wanaokufa kwa bidii hivi?
You just help her ikibidi mpeleke kabisa ili kama anania ya kutoa usijetupiwa lawama..kwa kumpa hela

Wewe Swts wanaume wa kukataa mimba wataisha dunia ikiisha...lol
 
Msaidie kama uwezo unao. . .hamna cha kuombea ushauri hapo.
 
5 mothns hawezi toa..kibaya zaidi..hajawaambia kwaoo..nimemweleza afanye hivyo..maana anaweza pata matatizo makubwa zaidi..
 
nimeshampatia leo asubuhi..aliniambia jana..nilitaka kupata mawazo yenu kuona wadau wanafikiria nini kuhusu hili jambo..
 
Msaidie kama uwezo unao. . .hamna cha kuombea ushauri hapo.

JF bwana kwa sababu unamda wakuandika mtu anaandika tuu eeti kuomba ushauri kumpa mtu msaada!
si ampe tuu!
 
Kwa uzoefu binafsi..........kama una uhusiano mwingine unatakiwa kuwa makini sana na shida zake otherwise utajikuta matatizoni muda si mrefu mkuu

Thanx kwa kumsaidia......ila kumbuka yeye ana maisha yake na wewe una yako!!!!!!!
 
Siku hizi hua naona wanaume wengi wanapenda watoto kumbe kuna wachache bado wapo na wamazo ya karne ya 18..anyway kama umeshamsadia be blessed
 
Wewe Swts wanaume wa kukataa mimba wataisha dunia ikiisha...lol

ila sidhani kama ni akili ya mtu timamu, shetani anahusika,Asha!
Cha ajabu mtoto akikua unamdai ni wako! Walah ningekunyonya damu!lol
 
Siku hizi hua naona wanaume wengi wanapenda watoto kumbe kuna wachache bado wapo na wamazo ya karne ya 18..anyway kama umeshamsadia be blessed

yan mwanaume mkataa mimba, si mzima!
 
nawashukuru kwa ushauri wenu, i needed a critical solution for this
 
ndiyo yule yule anayekuja na kuondoka au mwingine?

hongera kwa kumsaidia ,huwezi kumnyima mtu msaada wa kibinadamu hata km ni x wako.
 
Hawachelewi kusema aliyenisaidia ndio mwenye mzigo we jichanganye uone maneno yatakavyosambaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…