Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
Hahaha sawa atapiga vibomu vyao pale Lebanon aseme kaifuta Hezbullah, hana lolote akiwapiga Hezbullah na Hezbullah watampiga zaidi ya yeye atakavyo wapiga, Hezbullah ni moto wa kuotea mbali.Netanyau kawahi kurudi nyumbani, hezbollah wajipange..
Kipenzi chetu Imam Hussein aliuwawa kikatili sana Karbala ili kulinda na kuutetea uislamu. Nasi Allah katupa Tawfiq. Lakini cha kuhuzunisha Sunni hawamuenzi Imam wetu wanamdhihaki kumtukana nakutudhihaki.Hahaha sawa atapiga vibomu vyao pale Lebanon aseme kaifuta Hezbullah, hana lolote akiwapiga Hezbullah na Hezbullah watampiga zaidi ya yeye atakavyo wapiga, Hezbullah ni moto wa kuotea mbali.
Hizo ni harufu za viungo tu chakula hata kupikwa bado, Kipondo bado hakijaanza, war cabinet inaendelea na vikao, very harsh response yajaHii ni leo!
Israel says it has struck Hezbollah targets 'deep inside' Lebanon
"Overnight, the IAF struck a series of Hezbollah terror targets both deep inside Lebanese territory and in southern Lebanon, including weapons caches and terrorist infrastructure in the areas of Chabriha, Borj El Chmali, and Beqaa, Kfarkela, Rab El Thalathine, Khiam, and Tayr Harfa," the military said.
Israel strikes Hezbollah targets 'deep inside' Lebanon after deadly football pitch attack in Golan Heights
The strikes come after an attack on a football pitch in the Israeli-occupied Golan Heights which killed at least 11 children and teenagers.news.sky.com
Imam huseni ndio mdudu gani nyie subirini kipondo Netanyahuu amerejeaKipenzi chetu Imam Hussein aliuwawa kikatili sana Karbala ili kulinda na kuutetea uislamu. Nasi Allah katupa Tawfiq. Lakini cha kuhuzunisha Sunni hawamuenzi Imam wetu wanamdhihaki kumtukana nakutudhihaki.
Allah mwenyez Mungu mwingi wa rehma ampe qaul thabeet kipenzi chetu Imam.
Yoyote aliye ndani ya Israel ni mzayuni na adui wa ubinadam haijalishi ni muislam, myahudi,mzayuni au mkristo!!Halafu hao watoto waliuawa kwa shambulizi la hezbollah sio wayahudi ni waislamu wenzenu wanaitwa wa Druze sasa sijui wafia dini mnashangilia nini
Hahaha nimecheka kwa sauti hahaha hahahaImam huseni ndio mdudu gani nyie subirini kipondo Netanyahuu amerejea
Msije lia America kawanyima silaha, nyie humuwawezi Hamas mkamuweze HezbullahHizo ni harufu za viungo tu chakula hata kupikwa bado, Kipondo bado hakijaanza, war cabinet inaendelea na vikao, very harsh response yaja
kwani peke yake ndiyo aliitetea uislamu?Kipenzi chetu Imam Hussein aliuwawa kikatili sana Karbala ili kulinda na kuutetea uislamu. Nasi Allah katupa Tawfiq. Lakini cha kuhuzunisha Sunni hawamuenzi Imam wetu wanamdhihaki kumtukana nakutudhihaki.
Allah mwenyez Mungu mwingi wa rehma ampe qaul thabeet kipenzi chetu Imam.
Halafu hao sio wayahudi ni waarabu druze. Ila ni waisraelWayahudi 11 wanaripotiwa kufariki dunia katika shambulio lililofanyika katika milima ya Golan.
Hezbollah wamekiri kuhusika katika shambulio hilo.Wayahudi wameapa kulipa kisasi! Allah vs Yahweh!!! Wafia dini za kiarabu na kiyahudi kazi kwenu! Mkumbuke wanawake na watoto wanateseka!
Eleven dead in rocket attack on Israeli-occupied Golan
Eleven teenagers and young adults have been killed and 19 injured after an attack which hit a football pitch in the Israeli-occupied Golan Heights, according to Israeli emergency services and military spokespeople.The strike was the deadliest in the area since cross-border exchanges between Israel's military and Hezbollah
Golan Heights attack: Israel hits Hezbollah targets after football pitch attack
The deadly strike, which killed children, raises fears of all-out war between Israel and the Lebanon-based group.www.bbc.com Israel nearing ‘all-out war’ – foreign minister
Hezbollah “crossed all lines” with a rocket attack that killed ten people, Israel Katz has said
Israel nearing ‘all-out war’ – foreign minister
The IDF will respond “disproportionately” to an alleged Hezbollah rocket attack on civilians, Israel Katz has warnedwww.rt.com
Jichunge kijana bange zako zisisababishe ukala ban , na uache kufuata ukafiri na upotofu pamoja na kushabikia.
Hii ni sasa hivi!war cabinet inaendelea na vikao, very harsh response yaja
Adui wa ubinadamu kwa mujibu wa nani?!Yoyote aliye ndani ya Israel ni mzayuni na adui wa ubinadam haijalishi ni muislam, myahudi,mzayuni au mkristo!!
Cha kukusahihisha Druze sio waislam acha udini
Zama Zimebadilika Mkuu. Mwambie Netanyahu aingie front- war kwa Hezbollah kama Uwezo Anao?! Hiyo Inaitwa Nipe NikupeHezbollah hawahusiki vipi wakati hata kama ni failure ya iron dome root cause ni interception ya kombora lao(Hezbollah)?
Watalipa gharama kubwa! Madogo 11 wa kiebrania waliouliwa ni wengi mno kwa hesabu yoyote ile.
GreatVita Sio kitu cha ushabiki ni vile tu, upumbavu umekuwa mwingi,hasa makundi ya kidini na siasa.
Tangia Oktoba Hizbollah kaishambulia Israel ndani ya mipaka yake kwa kulipua kambi ya Galilee mara tatu na kasababisha mji mzima wa kaskazini kuhamwa.Bila shaka tegemea myahudi kutembeza kipondo heavy hezbollah kajiingiza mdomoni mwa joka chatu yahudi