MYTH: Inawezekana unatumia 10% ya ubongo wako.

MYTH: Inawezekana unatumia 10% ya ubongo wako.

Cybergates

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2016
Posts
697
Reaction score
1,474
Salam kwenu wakuu, leo kwenye pitapita zangu nimekutana hii story nimeona ni bora tujadili pamoja. Inasemekana mwanadamu anatumia asilimia kumi (10%) ya ubongo wake inamaanisha kati ya asilimia 100 unatumia 10% hizo 90% zilizo baki hazina kazi, Lakini cha kushangaza 3-5% ya uzito wako ni uzito wa ubongo pamoja na hilo 20% ya oxygen na glucose inaenda kwenye ubongo
Hii concept imetumika kwenye movi ya LUCY kama ujaangalia download hapa Free Movie Download - Full Movie Download | CooLMovieZ
Kama umesoma kitabu cha how to win friends & influence people kuna huu mstari "the average person develops only 10% of his latent mental ability"
"[this myth is] one of the hardiest WEED in the garden of psychology"-Donald Mcburney
embu fikiria kama watu tunatumia 10 percent of our brain's capacity...imagine if we could access 100 percent
WALE WA MABASI YA NJANO PITA HAPA Do we only use 10% of our brains?
Mkuu ww unatumia asilimia ngapi ya ubongo wako? Mm nahisi natumia 70%
 
Aisee kumbe ndio hivyo...Je, kufikiria zaidi ndio kutumia asilimia nyingi??
 
Kutumia asilimia kubwa ya ubongo haimaanishi ndio maisha yatakuwa bora. Unaweza ukautumikisha ubongo wako kwa 100% hadi ukazimia lakini ikawa haina tofauti na mtu anayekanyaga gari mafuta hadi mwisho rpm 100% wakati gari ipo neutral
 
Wazungu ni waongo sana, usipokuwa makini wanakuingiza choo cha kike.
Hiyo move ya LUCY nimeiona.
 
Salam kwenu wakuu, leo kwenye pitapita zangu nimekutana hii story nimeona ni bora tujadili pamoja. Inasemekana mwanadamu anatumia asilimia kumi (10%) ya ubongo wake inamaanisha kati ya asilimia 100 unatumia 10% hizo 90% zilizo baki hazina kazi, Lakini cha kushangaza 3-5% ya uzito wako ni uzito wa ubongo pamoja na hilo 20% ya oxygen na glucose inaenda kwenye ubongo
Hii concept imetumika kwenye movi ya LUCY kama ujaangalia download hapa Free Movie Download - Full Movie Download | CooLMovieZ
Kama umesoma kitabu cha how to win friends & influence people kuna huu mstari "the average person develops only 10% of his latent mental ability"
"[this myth is] one of the hardiest WEED in the garden of psychology"-Donald Mcburney
embu fikiria kama watu tunatumia 10 percent of our brain's capacity...imagine if we could access 100 percent
WALE WA MABASI YA NJANO PITA HAPA Do we only use 10% of our brains?
Mkuu ww unatumia asilimia ngapi ya ubongo wako? Mm nahisi natumia 70%

Naam! Kama jinsi ulivyoipa Jina mada yako MYTH!
Huo ni Udhanifu usio na Ukweli kisayansi! Ubongo sio Flashdriver! Ubongo sio embe kwamba unakula kipande kidogo cha upande huu na unabakiza sehemu nyingine utakula baadae!
Ubongo hufanya kazi kwa uwezo wake kamili bila kuacha sehemu yake yeyote ile bila kufanya kazi! Ila ninachojua ni kuwa Ubongo umegawanyika katika sehemu kuu tatu,wa mbele,kati na nyuma! na kila sehemu ya ubongo inakazi yake maalum!
The Brain functions in its fully capacity all the time,depending on activities and responses it receives from other sense organs! eyes,skin,tongue,nose and ear.
 
Naam! Kama jinsi ulivyoipa Jina mada yako MYTH!
Huo ni Udhanifu usio na Ukweli kisayansi! Ubongo sio Flashdriver! Ubongo sio embe kwamba unakula kipande kidogo cha upande huu na unabakiza sehemu nyingine utakula baadae!
Ubongo hufanya kazi kwa uwezo wake kamili bila kuacha sehemu yake yeyote ile bila kufanya kazi! Ila ninachojua ni kuwa Ubongo umegawanyika katika sehemu kuu tatu,wa mbele,kati na nyuma! na kila sehemu ya ubongo inakazi yake maalum!
The Brain functions in its fully capacity all the time,depending on activities and responses it receives from other sense organs! eyes,skin,tongue,nose and ear.
Well said..not a flashdriver nor a hardiskdriver."The Brain functions in its fully capacity all the time,depending on activities and responses it receives from other sense organs".
 
Kuna kitabu flani nilikisoma,wanasema hawa genius wanatumia mpk 15% akina Isaac newton,galileo,Leonard da Vinci na hao genius wengine..
With alll technology we have,imagine kama tungetumia hata 30% tu,
Ila kwa sasa huko wanasayans wapo kwenye research ya ku expand huo uwezo wa ubongo...
May be 20 years to cme...
 
ha ha ha! kama tunatumia 10% up to 15%(genius) tumejuaje kuwa kuna 100% wkt tunatumia 10% kwa 15% na hatujafikia hizo 100%..?
 
Ubongo ni kitu ambacho wataalam wengi washindwa kutegua kitendawili chake na bado itakuwa ni kazi kutegua hicho kitendawili
 
Hakuna sehemu ya ubongo isio fanya kazi,kwa mtu yoyote alie mentally and physically fit ubongo wake unafanya kazi 100%,ikitokea ata sehemu moja ya part za ubongo haifanyi kazi ndio unasikia matatizo kama coma,paralyse etc

Pia sehemu ya ubongo ikiwa na matatizo ndio unasikia matatizo kama Cerebral pulsy,Parkinson disease,Dementia etc,nimetoa generall concept tu hapi,so usidanganywe et tunatumia ubongo kwa percent kadhaa

Kwa walio soma MD mtakua mnanielewa vizur
 
Salam kwenu wakuu, leo kwenye pitapita zangu nimekutana hii story nimeona ni bora tujadili pamoja. Inasemekana mwanadamu anatumia asilimia kumi (10%) ya ubongo wake inamaanisha kati ya asilimia 100 unatumia 10% hizo 90% zilizo baki hazina kazi, Lakini cha kushangaza 3-5% ya uzito wako ni uzito wa ubongo pamoja na hilo 20% ya oxygen na glucose inaenda kwenye ubongo
Hii concept imetumika kwenye movi ya LUCY kama ujaangalia download hapa Free Movie Download - Full Movie Download | CooLMovieZ
Kama umesoma kitabu cha how to win friends & influence people kuna huu mstari "the average person develops only 10% of his latent mental ability"
"[this myth is] one of the hardiest WEED in the garden of psychology"-Donald Mcburney
embu fikiria kama watu tunatumia 10 percent of our brain's capacity...imagine if we could access 100 percent
WALE WA MABASI YA NJANO PITA HAPA Do we only use 10% of our brains?
Mkuu ww unatumia asilimia ngapi ya ubongo wako? Mm nahisi natumia 70%
Tatizo mambo ya rohoni mnataka mkayapime maabara, wazungu walijitambua mapema na walivyokuja kwetu waliliita Africa bara la giza. Hii ni kwa sababu wao utendaji wa akili uko juu ukilinganisha na waafrika kwa wakati huo.

Ngojea niwape siri hii. Mungu ndio Daktari Mkuu wa akili, ili kuwatibu watu akili amekua akituma manabii ili wawafundishe jinsi ya kuishi maisha matakatifu. Watakatifu ndio utendaji wao wa akili uko juu.

Manabii wameandika neno la Mungu. Dosi ya utendaji kazi wa akili ni neno la Mungu.

Watumishi wamungu kama wachungaji, wainjilisti n. K nao ni mawakala wa Mungu kwa ajili ya kuponya watu ugonjwa wa akili.

Ni kawaida binadamu kuwa na utendaji kazi wa chini wa akili kwa sababu neno wanaloishi nalo si neno la Mungu.

Siku akipata neema ya kuhifadhi neno la Mungu moyoni mwake kwa kulisoma na kuliamini ndipo utendaji wake unakua, ndio utasikia watu wanasema wana upako.

Nilivyojifunza neno la Mungu na kulielewa ndipo nilipofunuliwa kwamba aliyewahi kufikia uponyaji wa juu wa akili kwa wakristo ni Bwana Yesu.

Na Yesu anawakaribisha kwenye familia yake takatifu ya watu wenye akili Timamu.

Fahamu kwamba kuwa gizani ni utendaji wa chini wa ubongo na kuwa nuruni ni utendaji wa juu wa akili.

Fahamu pia giza linaletwa na neno ambalo si la Mungu moyoni mwako na nuru inaletwa na maarifa sahihi ya Mungu moyoni mwako.

Chagua ni lako.

Karibuni kwenye familia takatifu ya Yesu Kristo
 
Tatizo mambo ya rohoni mnataka mkayapime maabara, wazungu walijitambua mapema na walivyokuja kwetu waliliita Africa bara la giza. Hii ni kwa sababu wao utendaji wa akili uko juu ukilinganisha na waafrika kwa wakati huo.

Ngojea niwape siri hii. Mungu ndio Daktari Mkuu wa akili, ili kuwatibu watu akili amekua akituma manabii ili wawafundishe jinsi ya kuishi maisha matakatifu. Watakatifu ndio utendaji wao wa akili uko juu.

Manabii wameandika neno la Mungu. Dosi ya utendaji kazi wa akili ni neno la Mungu.

Watumishi wamungu kama wachungaji, wainjilisti n. K nao ni mawakala wa Mungu kwa ajili ya kuponya watu ugonjwa wa akili.

Ni kawaida binadamu kuwa na utendaji kazi wa chini wa akili kwa sababu neno wanaloishi nalo si neno la Mungu.

Siku akipata neema ya kuhifadhi neno la Mungu moyoni mwake kwa kulisoma na kuliamini ndipo utendaji wake unakua, ndio utasikia watu wanasema wana upako.

Nilivyojifunza neno la Mungu na kulielewa ndipo nilipofunuliwa kwamba aliyewahi kufikia uponyaji wa juu wa akili kwa wakristo ni Bwana Yesu.

Na Yesu anawakaribisha kwenye familia yake takatifu ya watu wenye akili Timamu.

Fahamu kwamba kuwa gizani ni utendaji wa chini wa ubongo na kuwa nuruni ni utendaji wa juu wa akili.

Fahamu pia giza linaletwa na neno ambalo si la Mungu moyoni mwako na nuru inaletwa na maarifa sahihi ya Mungu moyoni mwako.

Chagua ni lako.

Karibuni kwenye familia takatifu ya Yesu Kristo


Wasabato Kazini
 
mwanadamu alieweza kutumia ubongo wake kwa asilimia kubwa alikuwa ni yesu maana aliweza ku force maji kuwa divai kaja akabadili samaki na mikate na akaja tembea juu ya maji
 
Back
Top Bottom