Mzalendo mtanzania mwenye nia

Man from cuba

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2021
Posts
571
Reaction score
1,394
Angekuwepo kalikawe huu ukweli angeusema ila mondi wa tandale ameamua kukaa kimya.

Leo nimemkumbuka huyu msanii mwanaharakati na mwanasiasa Mzalendo baada ya ukimya wake wa muda mrefu tangia aachie kibao chake cha NASOGEA GOLGOTHA kibao kilichosheheni mambo mengi ya siasa hasa yaliyokuwa yanatokea kwny awamu ya tano km kifo cha Akwelina, kutekwa kwa Roma na kutishwa kwa askofu Kakobe.

Your browser is not able to display this video.
 
Yule dogo kichwa Sana sijui kapotelea wapi mpaka sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…