Mzamiru Yassin ni kiungo mzuri kuliko Babacar Sarr

Mzamiru Yassin ni kiungo mzuri kuliko Babacar Sarr

kalisheshe

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2020
Posts
2,064
Reaction score
4,056
Kwa macho ya kimpira naona Mzamiru ana vitu vingi kumzidi Babacar Sarr.

Sarr ni mzito na ndiye anaeigharimu simba kwa kushindwa kukaa eneo lake na kukaba kwa wakati.

Sijui kamati ya usajili ya Simba iliangalia nini kwake ambacho Mzamiru hana.
 
Kwa macho ya kimpira naona Mzamiru ana vitu vingi kumzidi Babacar Sarr.

Sarr ni mzito na ndiye anaeigharimu simba kwa kushindwa kukaa eneo lake na kukaba kwa wakati.

Sijui kamati ya usajili ya Simba iliangalia nini kwake ambacho Mzamiru hana.
Mkataba wa Bacar Sarr na Saido una vipengele vyenye utata kama dp world they must play when they are fit otherwise is against the contract.
 
Kwa macho ya kimpira naona Mzamiru ana vitu vingi kumzidi Babacar Sarr.

Sarr ni mzito na ndiye anaeigharimu simba kwa kushindwa kukaa eneo lake na kukaba kwa wakati.

Sijui kamati ya usajili ya Simba iliangalia nini kwake ambacho Mzamiru hana.
10% ndiyo inaangaliwa.
 
Kwa macho ya kimpira naona Mzamiru ana vitu vingi kumzidi Babacar Sarr.

Sarr ni mzito na ndiye anaeigharimu simba kwa kushindwa kukaa eneo lake na kukaba kwa wakati.

Sijui kamati ya usajili ya Simba iliangalia nini kwake ambacho Mzamiru hana.
Naunga mkono hoja. Mpaka ninavyoandika sijui Kwa nini Benchikà alipanga kiungo Babacar, Ngoma + Kanuti.
 
Naunga mkono hoja. Mpaka ninavyoandika sijui Kwa nini Benchikà alipanga kiungo Babacar, Ngoma + Kanuti.
Sasa angeanza na viungo wakabaji wawili si mngeangushiwa mvua ya magoli! Imagine kocha kachezesha viungo wakabaji watatu, lakini bado lile jini hatari Stephen Azii Kii lililazimisha penati!
 
Babacar sarr ni kiungo mzuri ana kimo kuzuia vichwa
Anamzidi mzamiru kwa kimo chake ni ngumu ku battle na Aucho
 
Sasa angeanza na viungo wakabaji wawili si mngeangushiwa mvua ya magoli! Imagine kocha kachezesha viungo wakabaji watatu, lakini bado lile jini hatari Stephen Azii Kii lililazimisha penati!
Heshima iliyopitiliza inazaa uoga. Tafsiri nyepesi ni kuiogopa Mechi. Viungo wakabaji watatu waliifanya timu ikaribishe mashambulizi na ikose balance.
 
Heshima iliyopitiliza inazaa uoga. Tafsiri nyepesi ni kuiogopa Mechi. Viungo wakabaji watatu waliifanya timu ikaribishe mashambulizi na ikose balance.
Comrade, hiyo ni game plan tu ya mwalimu. Hata Yanga waliiheshimu Mamelodi kwa kuchezo wa kujilinda zaidi, na wakapata sare ya 0-0 kwenye michezo yao miwili ya klabu bingwa Afrika.
 
Back
Top Bottom