Pre GE2025 Mzanzibar: Mitano kwa Rais Mwinyi ni kidogo, bora mpaka afe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Joined
Nov 19, 2024
Posts
94
Reaction score
307
Mzee huyo anasema Rais Mwinyi kwa miaka 60 iliyopita hajatokea kama yeye, ameongeza kuwa shida yake ni maendeleo na aliamini kuwa wakipata uongozi mpya basi watayapata, lakini bahati mzuri hayo maendeleo wameyapata kupitia kwa Mwinyi. Amesema kuwa, Hayati Maalim Seif alisema wazanzibar wakimpa madaraka basi Zanzibar itakuwa kama Singapore, na sasa imeshakuwa chini ya Mwinyi hivi sasa.

Rais Mwinyi ni Hazina, ikiwa tutaipoteza sidhani kama tutakuja kuipata tena

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…