Mzazi kaitwa shule kwenye kesi ya mtoto wake

Mzazi kaitwa shule kwenye kesi ya mtoto wake

appoh

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2013
Posts
5,262
Reaction score
2,184
MTOTO: baba unaitwa shule.
BABA: kuna nini?

MTOTO: Sijui ww twende.

BABA: haya hebu twende

MWALIM: karibu mzee mwanao tumemuuliza Kampala iko wapi kashindwa kujibu

BABA:kamgeukia mwanae akamzaba kibao kwa hasira na kumwambia ww nilikukataza kuchezea vitu vya watu haya KAMPALA ya mwalimu iko wap?
 
Back
Top Bottom