Mzazi mwenzangu amegundua nina mahusiano mengine nje ,nifanye nini ili anisamehe turudi kama mwanzo?



ushauliwe ni sasa hapa? .
Kubali kuvuna ulicho kipanda.
 


hakuna geologist wa hivyo, we utakuwa hg tu
 

No wonder!
 
kumbe ni baba mtoto I thought husband! hana shida maana si alikuzalisha tu wewe unaendelea na mambo yako!
 
wanawake wengine bana akili zao kama zimeuzwa sokon vile!!dawa ya mtu kama wewe ni kukuzalia nje ya ndoa
 
you are under a very trickly trap...lol! expect any from now,why pass p..sy arounds?
 
Hivi ufumaniwe kiukweli ukweli upate muda na guts za kuja ku-post hapa? Unajua maana ya kufumaniwa weye au unauliza itakuwaje endapo ukifumaniwa?! JF siku hizi imekosa mada za kujadili, upuuzi mtupu huu!
Hana lolote huyu mkuu,atakayemuoa ana hasara maana lazima akatwe tuu,na ukikosa pesa anakukimbia
 
Huyo mwanaume si mume wake ni baba wa mtoto wake..na pia ni mume wa mtu..kuliko kuendelea kurisk maisha yako na kumkosea Mungu..funga ndoa na huyo kijana na muendelee na maisha yenu.

Kama baba wa mtoto wako ana ndoa yake na anakutumia kama spare tyre na wewe uko na haki ya kuwa na ndoa yako.

Na kama wote hawaeleweki piga chini wote na mrudie Mungu wako na atakupa mume bora kama utatulia

Kumbuka pia wewe ni mama wa mtoto unahitaji kuwa role model wa mtoto na anahitaji kuiga tabia njema toka kwako na mpe mwanao malezi yanayostahiri ya kumcha Mungu na kutenda matendo mema. Sidhani kama utafurahi kumwona mwanao one day anatembea na mme/mke wa mtu..
 
Kama vp kila mwanaume wa kitanzania mwenye mke apewe ruhusa ya kumiliki pistol bila masharti magumu.
 
Umelikoroga shosti linywe,yani huonyeshi kujutia makosa yako wala huoni aibu mumeo kuona na huyo bwana,ndio kwanza
unataka mume akusamehe na uzidi kuendekeza zinaa,na bila aibu unasema ivi nikweli yamekukuta au umeangalia movie ukaja kutu hadithia? haielekei mwanamke mwenye mumewake ukakosa haya kiasi hicho wala kutokujutia makosa eti kisa pesa hata ungekua limbukeni lakini huyo ni mumewako au hawajakwambia thamani na umuhimu wa mume nini?
akimpata mwengine utasema mumewako amekusaliti.... pole yako usihadaike na rangi tamu ya chai sukari.........
 
Kama ni mimi n
Mkataba unaishia hapo hapo, na hyoo -------- -------- niliyekukuta nae lazima alambee kichwaa
 
am in deep shit

Deep shit? No!! umejitakia tu, hivi ukiamua kupanda juu ya mti then ukakaa kwenye tawi lake halafu ukalikata wakati umeekaa upande wa pili, ukianguka utasema uko in deep shit? No coz U very well knew the outcome of the act. It is indeed so sad to everyday hear these stories, tena mostly from learned women. Elimu imeshindwa kuwafanya wajitambue na kufanya maamuzi sahihi (decide if he is not good in bed what to do? Kama hana hela na wewe unazo nyingi...etc)
 
Si umesema una hela...kwa hiyo unaweza kununua mapenzi kama nguo...sasa unataka msamaha wa nini? Kauli tena kama thamani ya mwanamke ni hela au...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…