Mzazi mwenzangu amegundua nina mahusiano mengine nje ,nifanye nini ili anisamehe turudi kama mwanzo?

We acha tu Heaven on Earth mie hata kabla ya kuufungua huu uzi nilikuwa sina mbavu dah!!! JF ni burudani ya aina yake.... Chezeya faranga weye!!!!!

hahahaaaaaaaaaaaa nicheke kwa sauti kubwa heaven mie

ni Mudiplomat ndio kakufumania!!!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:

we endeleza umalaya wako ikwezekana anza kujiuza.....
 

Kama ni wa kutoka moshi basi andika wosia!Je anamiliki bastola au la!
 
First of all hongera sana kwa kua mkweli, kwamba japo umefumaniwa utaendelea na serengeti boi kama kawa watu wengi wasingesema hivyo japo ndio tabia zao.....then you are so stupid,mfano umesamehewa then ukashikwa tena ndugu yangu itakuaje?...kwa nini uhatarishe maisha yako na hiyo Serengeti boi,Kama unapenda sana si umuache mumeo aendelee na maisha yake? ...mwisho wa siku masije mkatiana risasi bure,mke wa mtu sumu!
 
sasa ushauri wa nini?wakati ushapanga kila kitu mf utaendelea kuwa na jamaa so acha unafiki mama
 
Sometimes I wonder if I have a cheating bone in me ama ni ushabiki tu.
 

Sio utaacha usaliti ila utabadili tu na kufanya siri nzito
 

We ni fisi maji kabisa shukuru amekuacha salama,vinginevyo angekurestisha in peace siku hizi ndio dawa yenu maan hamsikii kabisa.
 
yaan bado.unagonoka kisiri..eee ushauriwe nn ss wakt umegoma kuacha
 
du!!!!! age is nothing but numbers , utakua tu na wewe utafuma wenzako
 
Kweli ukimuamini mwanamke ni sawa unachambulia mchele gizani, chamsingi jiandae kula mimawe weee...
 
Ngoja akulime masasi ndio ujtambue vzr mana inaonekana unpenda sana kupigwa duduz
 
nimehangaika mda huu ndo kapokea simu.
Anasema we umeshampata mwingine tena anadai jamaa anajisifia sijiwezi kwake siwezi kumuacha.
Nimemuambia baba watoto hao wanaokuambia maneno ni waongo.

Zahra unachokifanya ni kuhatarisha maisha yako and nothing else
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…