Mzazi mwenzangu bado ananitaka licha ya yeye kuolewa

Ningekuwa wewe ningemfuata aliyenitoa bikra nimuambie anioe, kama hataki naenda kanisani na mahakamani kumshtaki, ikishindikana unamshtaki kwa Mungu alaaniwe.

Au subiri neema ya ALLAH akikukumbuka,
Mkuu me huwa namshukuru kwa kunileta kwenye huu ulimwengu wa kwichi kwichi

Sinaga la ziada kwake[emoji1]
 
Mkuu me huwa namshukuru kwa kunileta kwenye huu ulimwengu wa kwichi kwichi

Sinaga la ziada kwake[emoji1]

Sasa subiri wala mizoga waje kukuweka ndani kama Mke. Sisi wenye tabia ya simba hatuvutiwi na kitoweo dizaini yako
 
Sasa subiri wala mizoga waje kukuweka ndani kama Mke. Sisi wenye tabia ya simba hatuvutiwi na kitoweo dizaini yako
Mkuu usiniambie umeamua kuwatukana wenzio wala mzoga uongo...katika %100 wanaume wote wa jf walio oa wake % 95 wameoa wanawake walio wakuta tayar wamebikiriwa vip uwatukane mizogoa

Mkuu shukuru kwa neema hyo uliyo ipata na uache maneno kujigamba na kupotea wenzio

hapa jf hakuna mtu aliye na uhakika kuwa mkeo ulimuta bikir hyo ni maneno yako tu mkuu, uwezi washawish watu aamin ilo jambo....
 
Mzazi kwa mzazi haina shida, tatizo mzazi na bachelor..


Sipo hapa kumshawishi yeyote Mkuu.

Hata kama wangekuwa 99.99% haibadilishi ukweli, Ingeleta maana kuwa mafisi ni wengi kuliko simba.
Kuoa ni maamuzi na uchaguzi sio suala la neema hapa.
 
Sipo hapa kumshawishi yeyote Mkuu.

Hata kama wangekuwa 99.99% haibadilishi ukweli, Ingeleta maana kuwa mafisi ni wengi kuliko simba.
Kuoa ni maamuzi na uchaguzi sio suala la neema hapa.
Binadamu bwana..
 
Singo maza creator
 
Hivi una date vipi na mwanamke ambaye huna mpango naye wa kumuoa kwasababu ambazo unazijua kabisa, Ushamlala vya kutosha ndo unakuja kumpa sababu zako za kichoko acha tu akusumbue.
Swala la ndoa (kuoana) ni two way traffic ..sio la maamuzi ya upande mmoja , so bwana joka jeusi yeye aliona huyo mwanamke hatamfaa ,akapiga chini ..swala la kulalana hata huyo mwanamke Anamakosa alikubalije kuliwa ikiwa hajajua hasa lengo la mlaji?
 
Sasa subiri wala mizoga waje kukuweka ndani kama Mke. Sisi wenye tabia ya simba hatuvutiwi na kitoweo dizaini yako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
We una wasiwasi gan subiri atakayekufaa atakuoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…