Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Huyu ni mzazi wako halali ila tu ndoivo hakuhusika na malezi wqla makuzi yako ukiwa mdogo.
Anaweza kuwa ni baba au mama yako halali kabisa ila hakuwepo wakati wa malezi na makuzi yako.
Bila kujali sababu za kutokuwepo kwake cha msingi hakuwepo na wala hakuhusika na malezi wala makuzi yako hadi unafika hapo ulipo sasa una meno 32.
Kwa sasa mzazi wako huyu ni mtu mzima sana au mgonjwa, kifupi hajiwezi tena.
Je mzazi wako halali wa aina hii anastahili zipi hasa? maana hakuna ubishi kuwa wewe ni mbegu yake halali toka maungoni mwake.
Je ni wa kupatiwa posho ya kujikimu kimaisha huyu?
Je anastahili kutunzwa kwa malezi mema mfano matibabu n.k maana saizi yeye hajiwezi tena?
Je anastahili kujengewa huyu kama hana pakujistiri?
Je ni wa kukarabatiwa nyumba yake iliyochakaa huyu?
Je huyu ni wa kupetiwapetiwa na kuchekewa kwa bashasha bana maana saizi kaishajirudi kitabia anacare?
eti wakuu?
ila mimi nazan anastahili ivyo vyote na hata vya ziada kama vipo maana mzazi ndo baraka yako mbinguni.
Anaweza kuwa ni baba au mama yako halali kabisa ila hakuwepo wakati wa malezi na makuzi yako.
Bila kujali sababu za kutokuwepo kwake cha msingi hakuwepo na wala hakuhusika na malezi wala makuzi yako hadi unafika hapo ulipo sasa una meno 32.
Kwa sasa mzazi wako huyu ni mtu mzima sana au mgonjwa, kifupi hajiwezi tena.
Je mzazi wako halali wa aina hii anastahili zipi hasa? maana hakuna ubishi kuwa wewe ni mbegu yake halali toka maungoni mwake.
Je ni wa kupatiwa posho ya kujikimu kimaisha huyu?
Je anastahili kutunzwa kwa malezi mema mfano matibabu n.k maana saizi yeye hajiwezi tena?
Je anastahili kujengewa huyu kama hana pakujistiri?
Je ni wa kukarabatiwa nyumba yake iliyochakaa huyu?
Je huyu ni wa kupetiwapetiwa na kuchekewa kwa bashasha bana maana saizi kaishajirudi kitabia anacare?
eti wakuu?
ila mimi nazan anastahili ivyo vyote na hata vya ziada kama vipo maana mzazi ndo baraka yako mbinguni.