Abuu Said
JF-Expert Member
- Jul 5, 2015
- 4,010
- 4,763
Heshima kwenu Maintelegencia wa Jf.
Katika huu Uzi kuna jambo moja kubwa linalojadiliwa na kukosa Jibu la moja kwa moja.
Kuna huu mjadala wa Mungu mkuu kiongozi wa ulimwengu watu wanajadili uwepo wake na ufalme wake.
In short Mzazi wako ndio Mungu wako wa Dunia hii yeye ndiye anaekupa baraka katika Maisha yako ya Duniani.
Mzazi wako ndiye anaekuonesha njia za kupita ili uishi kwa Amani na mafanikio ktk Dunia hii.
Huwezi kufanikiwa jambo ambalo mzazi wako hajaridhika nalo mafanikio ya mtu yanatokana na Mzazi wake.
Mzazi wako ndiye anaekuonyesha ni nani Mungu wako wa Ulimwengu wote kwa ujumla anataka nini na hapendi nini.
Mzazi wako anakuonyesha ni jinsi gani ya kumuabudu Mungu mkuu wa ulimwengu.
Fanya kile ambacho mzazi wako anataka ufanye acha kile ambacho mzazi wako hataki ufanye hapo ndipo utauona Ufalme wa Mungu hapo ndipo utakapofanikiwa Maisha yako kabla ya kifo na baada ya kifo.
Kama mafundisho ya mzazi wako yamepotosha basi yeye ndie wa kulaumiwa.
Katika ulimwengu wa sasa hakuna alieshushwa kila mmoja ametokana na Wazazi wake.
Nihitimishe huu mjadala wa Mungu hauwezi kuisha kwa kujadili maandiko ya Vitabu ambavyo hujui mwanzo wake.
Ili uishi vizuri duniani fuata yale ambayo Mzazi wako anakuelekeza.
Katika huu Uzi kuna jambo moja kubwa linalojadiliwa na kukosa Jibu la moja kwa moja.
Kuna huu mjadala wa Mungu mkuu kiongozi wa ulimwengu watu wanajadili uwepo wake na ufalme wake.
In short Mzazi wako ndio Mungu wako wa Dunia hii yeye ndiye anaekupa baraka katika Maisha yako ya Duniani.
Mzazi wako ndiye anaekuonesha njia za kupita ili uishi kwa Amani na mafanikio ktk Dunia hii.
Huwezi kufanikiwa jambo ambalo mzazi wako hajaridhika nalo mafanikio ya mtu yanatokana na Mzazi wake.
Mzazi wako ndiye anaekuonyesha ni nani Mungu wako wa Ulimwengu wote kwa ujumla anataka nini na hapendi nini.
Mzazi wako anakuonyesha ni jinsi gani ya kumuabudu Mungu mkuu wa ulimwengu.
Fanya kile ambacho mzazi wako anataka ufanye acha kile ambacho mzazi wako hataki ufanye hapo ndipo utauona Ufalme wa Mungu hapo ndipo utakapofanikiwa Maisha yako kabla ya kifo na baada ya kifo.
Kama mafundisho ya mzazi wako yamepotosha basi yeye ndie wa kulaumiwa.
Katika ulimwengu wa sasa hakuna alieshushwa kila mmoja ametokana na Wazazi wake.
Nihitimishe huu mjadala wa Mungu hauwezi kuisha kwa kujadili maandiko ya Vitabu ambavyo hujui mwanzo wake.
Ili uishi vizuri duniani fuata yale ambayo Mzazi wako anakuelekeza.