Habari JF,
Siku nyingi kidogo sikua nimeingia kwa jukwaa kwa sababu ya majukumu ya hapa na pale
lakini leo nmebahatatisha ka mda kiddogo.
Nimejikuta nikiwaza, na nikahitimisha kua tunahitaji kujitathmini na kuafanya zaid ya hivi tunavyofanya.
jF, Kwa wale amabao wazazi/walezi wetu wangali bado hai, hivi wana tafsiri gani juu yetu sisi wanao.
Yaani, baba/mama yako anakuchukuliaje wewe kama mwanane?
wewe ni faraja kwake?
wewe ni tumaini kwake?
wewe ni fahari yake/yao?
AU
Wewe ni mzigo kwao?
Ni chanzo cha huzuni yao?
Ni majuto kwao N.k
Kilichonifanya nikawaza ivi ni baada ya kumsikia mzazi mmoja akim comment mwanae.
kiukweli alikua anaregret kumzaa
Ushauri wangu JF, haswa kwa sisi ambao bado tupo kwene umri wa ujana,
pamoja na mambo mengine meengi binafsi tuliyonayo lakini jamani
tuwe tunawakumbukuka wazee wetu na tujitahidi ka fahari yao.
Siku nyingi kidogo sikua nimeingia kwa jukwaa kwa sababu ya majukumu ya hapa na pale
lakini leo nmebahatatisha ka mda kiddogo.
Nimejikuta nikiwaza, na nikahitimisha kua tunahitaji kujitathmini na kuafanya zaid ya hivi tunavyofanya.
jF, Kwa wale amabao wazazi/walezi wetu wangali bado hai, hivi wana tafsiri gani juu yetu sisi wanao.
Yaani, baba/mama yako anakuchukuliaje wewe kama mwanane?
wewe ni faraja kwake?
wewe ni tumaini kwake?
wewe ni fahari yake/yao?
AU
Wewe ni mzigo kwao?
Ni chanzo cha huzuni yao?
Ni majuto kwao N.k
Kilichonifanya nikawaza ivi ni baada ya kumsikia mzazi mmoja akim comment mwanae.
kiukweli alikua anaregret kumzaa
Ushauri wangu JF, haswa kwa sisi ambao bado tupo kwene umri wa ujana,
pamoja na mambo mengine meengi binafsi tuliyonayo lakini jamani
tuwe tunawakumbukuka wazee wetu na tujitahidi ka fahari yao.