Mzee Aboud Jumbe Mbona uko Kimya Sana ?

Wakuu.
Hivi tunaposema yuko kizuizini tuna maana kuwa yuko Gerezan ama ?
Mimi sielewi kabisa aisee

Kuwekwa kiuzini kwa Mzee Jumbe ni kitendo cha Nyinyiemu kutomshirikisha kwa lolote kwenye historia ya nji hii.
Bila kujalinafasi zake alizoshika.
 
Mzee jumbe hayuko kizuizini, Yuko Mjimwema Kigamboni, unaweza kwenda ila ni Mzee sana anaongea kama cassette inakula mkanda pia anawatambua watu wa familia yake kwa sauti! Anakiti cha matairi huwa wanatumia kumtoa nje na kumrudisha ndani.

Bado yuko kizuizini, manake hawajakausha tangu Lissu afunguke, mengine yote wamemjibu pale bungeni.
 
Hii inamaana gani FF?
Kuwa yuko Gerezani ama ?
Watu wanaposema kizuizini wana maanaisha nini ?

Kuwekwa kizuizni na Serikali kunaweza kuwa na maana nyingi, amma usiongee in public, amma usitoke nje ya sehemu ulizopangiwa, amma usisafiri zaidi ya sehemu ulizopangiwa, amma usinane na fulani fulani na fulani. Kizuizini inaweza kuwa na namna nyingi ya vizuizi.

Bedridden inamaanisha, ni mtu anaesumbuliwa na matatizo a kiafya aina moja ama nyingine yanayomfanya muda mrefu awepo kitandani.

Unaweza kuwa bedridden na upo kizuizini.
 
Mzee jumbe alishamaliza kila kitu..sasa hivi anaona kama marudiao tu
 
\

Msimamo wake upo katika kitabu chake alichotunga kuhusu muungano wenu.

Wewe fanya jitihada ukisome utamfahamu vizuri sana.

Pole sana

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…