Mzee ana akili nyingi kuliko vijana wote walokusanyika jangwani jana
Mnataka kumfanya nini?
Tatizo Mzee Akili mali ni choka mbaya karne hii mpira unahitaji pesa sio maneno matupu
Tumeshikwaje akili?
Mkuu wewe uko upande gani, Manji Mwenyekiti au uchaguzi wa Mwenyekiti ufanyike?
Kama Mpira unahitaji pesa tu kwanini iwepo Katiba?
Hakuna sehemu niliosema mpira unahitaji pesa tu au sehemu niliosema Yanga isifate katiba nilichosema Mzee Akilimali ni choka mbaya na mpira wa sasa unahitaji pesa huyo Mzee ni njaa tu inayomsumbua hana lolote
Akilimali kaongelea Katiba sio pesa
Kaona Katiba inakiukwa Sasa Wewe unaleta issue ya uwezo wake binafsi wa kipato kuna uhusiano gani hapo?
Akilimali anataka uenyekiti Yanga na kuhusu katiba bodi ya wadhamini wanasema hakuna katiba iliovunjwa Yanga
Hivi katiba ya Yanga haina kigezo cha elimu katika nafasi ya Mwenyekiti????Anahaki ya Kuutaka Kwa Kuwa Katiba ya Yanga haijakataza Maskini kuwania nafasi hiyo
Wewe ndio msemaji wa Manji, achukuliwe form then trh 15 afike ofisi za YangaUmeambiwa Manji ni mgonjwa asijihusishe na chochote mpaka disemba15 hata biashara zake hashuguliki nazo,bi hindu atawashikia akili mpaka lini nyie mbumbumbu?
Timu haina mwenyekiti huu mwaka sasaTumeshikwaje akili?
Mkuu wewe uko upande gani, Manji Mwenyekiti au uchaguzi wa Mwenyekiti ufanyike?
Hamuwezi mfanya chochoteAnachokitafuta atakipata. Njaa yake haiwezi kuzuia furaha ya wana Yanga wengi.
Lete kifungu kwenye kativa ya Yanga kinachoruhusu kutokuwa na mwenyekitiAkilimali anataka uenyekiti Yanga na kuhusu katiba bodi ya wadhamini wanasema hakuna katiba iliovunjwa Yanga