MZEE AKILIMALI AOMBA AOMBEWE HALI YAKE SI NZURI

Aaron Arsenal

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2014
Posts
24,501
Reaction score
28,711
"Hali yangu mbaya naomba wana Yanga na wapenda michezo wote waniombee, kisukari kinanitesa sana nipo huku Bagamoyo nikijiuguza"

- Mzee Akilimali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katibu wa kudumu wa baraza la wazee japo halipo kikatiba. Wapi alichaguliwa, hakuna anayejua.

Mwenyekiti wake alikuwa boya tu. Maongezi yote ni katibu Akilimali au Akilipesa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]njano buana kama homa ya manjano

Jr[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…