Ndugu zangu wana Yanga Mzee AkiliMali ni mtu wa kigoma na watu wa kigoma wanajulikana kwa sifa ya ubishi na kutokushindwa ,upande wa simba alikuwepo Mzee Kilomoni mzee wa pwani lkn mzee huyu alitulizwa yeye pamoja na wakili wake na Mabadiliko yakapitishwa
Yanga mpaka leo hii wamemshindwa mzee AkiliMali kila siku wanadai wanamfuta uwanachama lakini wapi ,mzee AkiliMali ni wa kigoma hiki kisiki hakitolewi ni mbishi kinoma anakuambia yanga sio maturubai mpaka ikodishwe
Tayari kakiwasha huko jangwani akina mkwasa Tumbo joto
Hakuna aliyewahi kumshinda mkigoma kwenye ubishi...viva Mzee AkiliMali