johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wanachama Wengi wa Chadema hawanaga vigezo Vya kuwa Viongozi ndio sababu uchaguzi wa Serikali za Mitaa wengi waliondolewa na October hata Mgombea uRais wao ataondolewa
Mzee Alipipi Kasyupa ni nguli wa CCM na amekuwa Mbunge enzi za Nyerere hivyo yuko Sahihi kabisa kuwakata hao waliokatwa
Uongozi una vigezo vyake na Waziri Mchengerwa alisema Wanachama wa Chadema Wengi hawawezi hata kujaza Fomu sasa angewasaidiaje 🐼
Mchimba Kisima kadumbukia mwenyewe 😂
Mzee Alipipi Kasyupa ni nguli wa CCM na amekuwa Mbunge enzi za Nyerere hivyo yuko Sahihi kabisa kuwakata hao waliokatwa
Uongozi una vigezo vyake na Waziri Mchengerwa alisema Wanachama wa Chadema Wengi hawawezi hata kujaza Fomu sasa angewasaidiaje 🐼
Mchimba Kisima kadumbukia mwenyewe 😂