Mzee Ally Hassan Mwinyi pekee alijaribu, alivunja Baraza la Mawaziri la Muungano mwaka 1990 alipoona kuna shida mahala

Hebu tuondolee upupu wako!
 
Hayati Nyerere alipofika Rome na kupokelewa na vijana wa pale wakampasha habari za Dar-es-Salaam na akashangaa kweli, ila kimoyomoyo alishukuru kuona angalau Mwinyi ameweza.
Hah hah , nacheka lakini nimejifunza kitu kikubwa ktk uzi huu kupitia historia ya tukio hili.

2021 kuna kila haja ya kuvunjwa kwa baraza la mawaziri na pia kutimuliwa kwa viongozi wote wa idara muhimu katika nchi hii, lakini sijui kwanini kuna kusitasita wakati mazingira yanafanana kama vile Mwl. Nyerere alivyokuwa Rome Italy. Mwaka huu 2021 'mwenyewe' aliyeteua baraza hili na watendaji wakuu wa idara zote maalum hayupo pia hawezi kurudi kushangaa kama Mwalimu Nyerere.
 
Dogo mwaka 2007 JK alilazimika kuunda upya serikali baada ya EL kujiuzulu uwaziri mkuu
Mie sio Dogo kama unavyodhani au watania? 😉

Mzee Edward Lowasa alipeleka barua ya kujiuzulu rasmi kwa raisi Kikwete na pia mawaziri watatu akiwemo Dr Msabaha walijiuzulu.

Hali hiyo ni tofauti kabisa na nilichokieleza katika mada yangu kuzingatia mazingira ya kuvunja baraza la mawaziri.

Pia Mzee Mwinyi alivunja baraza lote la Muungano na mawaziri kama Hassan Diria rip wa kutoka Zanzibar nae alikumbwa na uamuzi huo.

Na nikasema hata raisi wa Zanzibar Idris Abdul Wakil nae akashiriki machakato wa maamuzi mapya baaya ya kuundwa baraza jipya.

Hivi mbona baadhi ya watu humu JF ni wagumu hivyo kusoma kitu na kukielewa?
 
Unfortunately hakuna miradi ilifanyiwa uchambuzi,sasa wewe reli ya kwenda Mwanza inafaida gani ikiwa mzigo wote unaenda Burundi,Rwanda na DRC ? Ukikopa kujenga hiyo reli inakumala
Tunatakiwa tuwekeze kwenye utafiti ili kama tunafanya mradi basi utafiti uwe umeshafanyika tujue kabla ya kuweka fedha au kukopa fedha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…