Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Dewji umeongea uongo Kwa kiwango kikubwa. Hiyo Mechi anayoisema mpaka halftime Simba ilishafungwa 4-0 na hakukuwa na goli la kuonewa hata moja. Mgogoro wa malipo kwa Wachezaji ndo uliosababisha Wachezaji kucheza chini ya kiwango. Marehemu Mansour Magram angekuwepo angekuumbua maana alikuwa hataki unafiki.Mdau mkubwa wa michezo nchini na Mwanachama wa Klabu ya Simba, Mzee Azim Dewji amefunguka kuhusu waamuzi ambao watachezesha Dabi ya Kariakoo.
Wakati huo huo, kamati ya Waamuzi nchini inemtangaza Ahmed Arajiga kuwa ndio mwamuzi wa mchezo wa tarahe 8 pale Dimba la Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Hao wote uliowataja hapo haluna namba 10 wa kumzidi AhouaMzee aambiwe ukweli simba wakazane waongeze wachezaji kama watano ndipo watashindana na Yanga.
Shida ni Kijana wake ambaye ni mjomba Bahili sana kutoa hela, Hajawahi kununua wachezaji yeye ni kusubiri Maghalasa ya Free Agent.
Atasingizia Refa huku timu haina no 10
Yanga wana
Pakome
Aziziz
Chama
Max
(Mudadhiri (nabi)
je simba ana nani?????
Wewe nenda kwenu indian hapa siyo kwenu simba siyo ya mamaako nenda kwenu huko indian we nani nchi hiiMdau mkubwa wa michezo nchini na Mwanachama wa Klabu ya Simba, Mzee Azim Dewji amefunguka kuhusu waamuzi ambao watachezesha Dabi ya Kariakoo.
Wakati huo huo, kamati ya Waamuzi nchini inemtangaza Ahmed Arajiga kuwa ndio mwamuzi wa mchezo wa tarahe 8 pale Dimba la Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
ππππWewe nenda kwenu indian hapa siyo kwenu simba siyo ya mamaako nenda kwenu huko indian we nani nchi hii
Huyo mzee Alisababisha Tusibebe Ubingwa wa Caf 1993.Mdau mkubwa wa michezo nchini na Mwanachama wa Klabu ya Simba, Mzee Azim Dewji amefunguka kuhusu waamuzi ambao watachezesha Dabi ya Kariakoo.
Wakati huo huo, kamati ya Waamuzi nchini inemtangaza Ahmed Arajiga kuwa ndio mwamuzi wa mchezo wa tarahe 8 pale Dimba la Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Hao wote uliowataja hapo haluna namba 10 wa kumzidi Ahoua
Number zinaongea
MVP wa Ivory Coast msimu uliopita, usidhani kua yupo hapo kwa bahati mbaya ni Uwezo wake ndo ulimweka hapo
Siyo Kweli...binafsi nilikuwepo uwanjani siku ile...hakuna goli lilifungwa siku ile...halftime ilikuwa 0-0 kipindi cha pili Simba hakurudi uwanjani...kipindi cha kwanza mpira ulikuwa unachezwa eneo la Simba Mara Kwa Mara...Simba walikuwa wanafanya faulo za kijinga na za wazi ili wapewe red lakini kadi haikutoka...mpango ulikuwa kwamba wakipewa red watoke uwanjani Kwa kisingizio cha kuonewa..inasemekana Hafidhi aliwaambia wachezaji uwanjani kwamba hatatoa red Ila kufungwa watafungwa...kipindi cha pili hawakurudi...nakumbuka kapteni WA Simba siku ile alikuwa Method Mogella ambaye baadaye alijiunga na Yanga..Dewji umeongea uongo Kwa kiwango kikubwa. Hiyo Mechi anayoisema mpaka halftime Simba ilishafungwa 4-0 na hakukuwa na goli la kuonewa hata moja. Mgogoro wa malipo kwa Wachezaji ndo uliosababisha Wachezaji kucheza chini ya kiwango. Marehemu Mansour Magram angekuwepo angekuumbua maana alikuwa hataki unafiki.
Ngoja tuwaulize tabora utdMzee aambiwe ukweli simba wakazane waongeze wachezaji kama watano ndipo watashindana na Yanga.
Shida ni Kijana wake ambaye ni mjomba Bahili sana kutoa hela, Hajawahi kununua wachezaji yeye ni kusubiri Maghalasa ya Free Agent.
Atasingizia Refa huku timu haina no 10
Yanga wana
Pakome
Aziziz
Chama
Max
(Mudadhiri (nabi)
je simba ana nani?????