mzee beka

ze great gamba

New Member
Joined
May 15, 2013
Posts
2
Reaction score
1
jamani naombeni muni simulie ile riwaya ya mzee beka. Mimi niliishia pale ben amewateka watoto wa mzee beka na mke wa singh, halafu anajua wamemteka jabu pekee. Kumbe na ndugu yake pia ametekwa.
 
jamani naombeni muni
simulie ile riwaya ya mzee beka. Mimi niliishia pale ben amewateka
watoto wa mzee beka na mke wa singh, halafu anajua wamemteka jabu pekee.
Kumbe na ndugu yake pia ametekwa.

mimi kwangu umeme ulikatikia hapo hapo ulipoishia wewe...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…