TANZIA Mzee David Makerege (80) Afariki Dunia Akiwa Chumbani Kwenye Hoteli ya Mbezi Garden Jijini Dar es Salaam

Wawe makini wanakuwa nao faragha
Wawambie kabisa mzee usitumie booster

Ova
Kuna mzee mmoja Moshi nae alikua anaona mama kelele imezidi akajitia booster...Aisee mishipa iliburst akawa anavuja damu kila tundu la mwili. Ikabidi awaishwe KCMC chap akapiga week 2 pale akatoka..Walipambana akapona ila nae ni mzee wa 80 kasoro kidogo.
 
Bwana Mshana Jr hii taarifa ni ya ukweli? Na kwani huu mtuhumiwa hajapewa hifadhi. Picha ya huu mwanamke. Je kuna usala hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…