Madaraka ndio mkubwa kwa hiyo kama kamkaribisha yeye hayo ni maamuzi ya familia yote na nawaza kusema mama maria ndio ametoa baraka zote hizo kama ujio wa lisu usingekuwa na baraka za familia wasingekubali ujio wakeTundu Lissu 'amekaribishwa' na Mmoja wa Watoto wa Hayati Mwalimu Nyerere aitwae Madaraka na hakukaribishwa na Familia yake. Msipotoshe!!!
Huwa hachoki kuonyesha U-POPOMA wake! Kila kitu anajifanya anakijua kiusahihi!Et anajiita mweny unasaba na familia hiyo[emoji1787]
Watu wengine ni 0 kabisa
Ngoma ya wajinga huchezwa na wapumbavu
Unajukutaga unajua kila kitu HAYAWANI wewe!! Mengine unahis unajua ila hujui. Na wasiokujua wanajua wew ndio kila kitu kumbe ZWAZWA wa kiwango Cha PhD. MBWA KOKO TU
Uwe unauficha ujinga wako wakati mwingine! Ile kujifanya unajua kila kitu, wakati mwingine unajiaibisha bure!
Katiba ya Tanzania inamruhusu kufikiri hivo. Na ataapishwa kuwa rais.Magufuli hajajiandaa kisaikolojia matokeo yakiwa mabaya kwake. Huu urais anajiona kama alizaliwa nao na maamuzi yake tu ndiyo ya sikilizwe.
Aache huo upumbavu, kura zikiibiwa hapatakalika wajueMagufuli hajajiandaa kisaikolojia matokeo yakiwa mabaya kwake. Huu urais anajiona kama alizaliwa nao na maamuzi yake tu ndiyo ya sikilizwe.
Lakini nafikiri, wasimwage ugali wake! wamrudishe kundini tu!Dr. Slaa anasuburi tarehe 28 kwa hofu kubwa manake hajui itakuwaje CDM ikishinda, mboga yake ama ugali vyote vyaweza kumwagika siku hiyo.
Wewe nae hamnazoTundu Lissu 'amekaribishwa' na Mmoja wa Watoto wa Hayati Mwalimu Nyerere aitwae Madaraka na hakukaribishwa na Familia yake. Msipotoshe!!!
Itapendeza akifanya hivyo!Dr. Slaa inaonekana anamkubali sana Lissu. na kama kweli yeye husimamia ukweli na kwa kuwa Lowasa hayupo tena CDM.. basi mzee atangaze kumuunga mkono Lissu
Madaraka ndio mkubwa kwa hiyo kama kamkaribisha yeye hayo ni maamuzi ya familia yote na nawaza kusema mama maria ndio ametoa baraka zote hizo kama ujio wa lisu usingekuwa na baraka za familia wasingekubali ujio wake
Sijakutukana, nimejibu KIPUUZI kama ulivyoniita wew!!Nitukane 'Matusi' yote unayoyajua ila naendelea 'Kusisitiza' Kwako kuwa huna 'unachokijua' kuhusu hiyo Familia na nakushauri tulia unajichoresha.
Haya kaka mkubwaaa!Tundu Lissu 'amekaribishwa' na Mmoja wa Watoto wa Hayati Mwalimu Nyerere aitwae Madaraka na hakukaribishwa na Familia yake. Msipotoshe!!!
Kuna sehemu yoyote nimekutukana?Madaraka Nyerere ndiyo Mjane wa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere? Serikali inamtambua Mama Maria / Madaraka? Acheni 'Ujuha' wenu huu.
Lakini ni inshara gani kwa ccm?? au wewe unamoni gani kwa Lisu kukaribishwa kwa mwasisi wa ccm?Tundu Lissu 'amekaribishwa' na Mmoja wa Watoto wa Hayati Mwalimu Nyerere aitwae Madaraka na hakukaribishwa na Familia yake. Msipotoshe!!!
Umeona ulivyo na kichwa kikubwa akili tone!!Madaraka Nyerere ndiyo Mjane wa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere? Serikali inamtambua Mama Maria / Madaraka? Acheni 'Ujuha' wenu huu.
Kwani wabunge na madiwani kupita bila kupingwa, tatizo ni la Cdm ?!. Hivi watu wengine mmepigwa upofu siyo ?! . Misungwi madiwani wote na mbunge wamepita bila kupingwa . Tatizo ni la Cdm kweli ?!. Ukweli mnauona lawama mnarusha kwingine. ShameDr. Slaa hajawaacha salama pamoja na yeye kukaa kimya bado kuna watu wanamuwaza, isingekuwa upeo mfupi wa chadema sasa hivi hata wabunge wa kupita bila kupingwa isingetokea.
Sijakutukana, nimejibu KIPUUZI kama ulivyoniita wew!!
Napenda tu unavyojikuta unajua kila kitu, wakati kuna mengi tu hujui.
Madaraka ndio kiongozi wa familia ile, lolote likisemwa au kufanywa na familia ile ujue lina mkono wa Madaraka.
Ujuaji mwingi mbele huwa giza!
Acha kujiaibisha
Mkuu, sijalielewa hilo neno la pili kutoka mwisho!Lakini nafikiri, wasimwage ugali wake! wamrudishe kunduni tu!
Huyu jamaa analeta unoko sana, hawa ndio wale walikuwa wanajifanya much know sekondari. Anajikuta yeye ndio yeye, GENTAMYCINE acha usekondari.Ngoma ya wajinga huchezwa na wapumbavu
Unajukutaga unajua kila kitu HAYAWANI wewe!! Mengine unahis unajua ila hujui. Na wasiokujua wanajua wew ndio kila kitu kumbe ZWAZWA wa kiwango Cha PhD. MBWA KOKO TU