Mzee El-mamry jipunzishe tu

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Rufaa ya Simba FIFA itaamuliwa lini hadi Yanga isubiri hukumu ya FIFA kupewa kombe? VodaCom nao ni wanafanyabiashara hawawezi kuendekeza kusubiri ushindi wa mezani kutoka FIFA ambao haujulikani lini utapatikana.

Waulize Simba kwanini walishindwa kuzilinda point zao 8 za uwanjani lakini sio kuhoji kwanini zawadi zinatolewa haraka
 
Agombee uenyekekiti wa Mikia awaonyeshe jinsi ya kuchukua ubingwa kivitendo kama anadhani ni rahisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…