ukweli ndio huo lile doka, la maafande lililoenda pale kwa mzee kilomoni skuile halikwenda kwa bahati mbaya, wale waliagizwa , huwezi taka kuiharibia timu ya wakubwa ukaachwa salama mzee atulie alee wajukuuWacha wee,[emoji23][emoji23],full majigambo.
yaani mwakyembe asiingilie kabisa hizi timu, asikilize nini mashabiki tunatakaNa ndiyo wamemponza kwani kinachoenda Kumpata very soon hata hao wana Yanga wanaompa Kiburi hiki na Jeuri hii leo watamkimbia na kumuacha peke yake. Ukweli ni kwamba tayari Serikali kupitia Wizara husika ( Waziri Mwakyembe ) imeshajua kuwa imewatibua wana Simba SC kwa yale Maamuzi yake ya Hisa za Kiuwekezaji ( wakimlenga Kipenzi chetu Mo Dewji ) na sasa wana Simba SC wamekuwa na Chuki na Serikali kiasi kwamba kuna Mpango ulikuwepo kwa wana Simba SC wote leo kutokwenda Uwanja wa Taifa Kuishangilia Timu ya Taifa na hata kama wangeenda basi wangeishangilia Timu ya Kenya na pia wana Simba SC walikuwa wameshaanza Kujipanga Kutoishabikia Serikali ya CCM hali ambayo kwa Kupima Serikali ikagundua kuwa yenyewe ndiyo itaathirika kwakuwa Tanzania nzima ni Simba na Yanga hivyo basi Serikali Kiujanja imeamua Kujikosha kwa wana Simba SC kwa Kuamua Kumbana huyu Mzee Kilomoni ili ionekane kuwa inaipambania Simba SC na iko nao sambamba katika Mipango yao ya Kiuwekezaji chini ya Mo Dewji huku pia ikimnusuru Waziri husika ( Mwakyembe ) ambaye kama isingekuwa ile Taarifa ya Mwekezaji Mo Dewji aliyoitoa jana basi Waziri Mwakyembe Siku ya Simba Day ndiyo angetujua ( angewajua ) vyema wana Simba SC na angeweza hata Kupoteza huo Uwaziri wake na Kujuta. Kwa Tanzania hii Simba na Yanga ni zaidi ya CCM na CHADEMA!
Umenielewa kwanza lakini?Ulipomaliza Kuandika hii post yako ulichukua muda wako kidogo angalau hata Kuipitia tu na Ukajiridhisha nayo kabla ya Kuamua kuituma ili Great Thinkers wa hapa JF tuione kama hivi?
Akili zenu mmezifunga sijui kwenye K?Umemaliza kila Kitu Mkuu kwa Kueleza kwa usahihi kabisa na labda nami niongezee tu hapa kwamba kwa haya Masharti aliyopewa huyu Mzee ni Bonge la Mtego ambao najua kwa Upumbavu wake anaenda Kuuvagaa kisha Watu wenye Mapenzi mema na Simba SC wafanye yao. Naishauri mapema sana Familia ya huyu Mzee ikae nae chini haraka mno Kuanzia leo na aachane na huu Mpango wake kwani kwa nilichoambiwa ( Kichinichini ) kilichoandaliwa dhidi yake nawaonea Huruma. Angalizo langu hili Familia ya huyu Mzee walichukue Kiumakini kabisa.
Mo hawezi kuwa mkubwa kuliko serikali.Na ndiyo wamemponza kwani kinachoenda Kumpata very soon hata hao wana Yanga wanaompa Kiburi hiki na Jeuri hii leo watamkimbia na kumuacha peke yake. Ukweli ni kwamba tayari Serikali kupitia Wizara husika ( Waziri Mwakyembe ) imeshajua kuwa imewatibua wana Simba SC kwa yale Maamuzi yake ya Hisa za Kiuwekezaji ( wakimlenga Kipenzi chetu Mo Dewji ) na sasa wana Simba SC wamekuwa na Chuki na Serikali kiasi kwamba kuna Mpango ulikuwepo kwa wana Simba SC wote leo kutokwenda Uwanja wa Taifa Kuishangilia Timu ya Taifa na hata kama wangeenda basi wangeishangilia Timu ya Kenya na pia wana Simba SC walikuwa wameshaanza Kujipanga Kutoishabikia Serikali ya CCM hali ambayo kwa Kupima Serikali ikagundua kuwa yenyewe ndiyo itaathirika kwakuwa Tanzania nzima ni Simba na Yanga hivyo basi Serikali Kiujanja imeamua Kujikosha kwa wana Simba SC kwa Kuamua Kumbana huyu Mzee Kilomoni ili ionekane kuwa inaipambania Simba SC na iko nao sambamba katika Mipango yao ya Kiuwekezaji chini ya Mo Dewji huku pia ikimnusuru Waziri husika ( Mwakyembe ) ambaye kama isingekuwa ile Taarifa ya Mwekezaji Mo Dewji aliyoitoa jana basi Waziri Mwakyembe Siku ya Simba Day ndiyo angetujua ( angewajua ) vyema wana Simba SC na angeweza hata Kupoteza huo Uwaziri wake na Kujuta. Kwa Tanzania hii Simba na Yanga ni zaidi ya CCM na CHADEMA!
Kweli kbsa......Kilichoandaliwa Kwake nina uhakika hata hao ambao wanamtuma na kumjaza huo Ujinga watamkimbia na Kumuacha akiteseka peke yake.
WamekoseaPole sana Mzee Hamis Kilomoni na Siku zingine ujue kwamba nchi hii ni zaidi ya Wewe pamoja na hao Wanaokutuma au Kukutumia. Wenye Akili walikushauri sana kuwa tulia ili uheshimike zaidi lakini ukawadharau hatimaye sasa Maamuzi mapya yaliyotoka yamekumaliza na itakulazimu uwe mpole tu huku Simba SC ikiendelea Kufanya mambo makubwa ya Kimaendeleo chini ya Kipenzi chetu Mwekezaji Mo Dewji.
Taarifa zilizonifikia na ambazo hata hivyo bado naendelea Kuzithibitisha zinasema ya kwamba Jeshi la Polisi nchini Tanzania limempa Masharti Mzee Hamisi Kilomoni ili ayatekeleze ndipo wampe Kibali cha Yeye Kufanya Mkutano wake na Waandishi wa Habari Jumatano ijayo ya tarehe 31 July 2019 katika kile alichokiita huo ni Msumari wa Moto.
Masharti yenyewe ni haya Mawili tu kama yafuatayo ambayo ametakiwa Kuyatekeleza na kama akienda Kinyume nayo na akafanya Mkutano wake huo basi Kitakachomkuta Siku hiyo na Kisheria asije Kumlaumu Mtu kwani hii nchi inaendeshwa na Sheria na taratibu zake....
1. Awe na Barua latest ( ya sasa ) kutoka RITA inayoonyesha kuwa Yeye ni Mdhamini wa Klabu ya Simba SC. ( ikumbukwe kuwa tayari RITA imeshasema kuwa haimtambui Mzee Hamis Kilomoni kama Mdhamini wa Simba SC na ilishatoa Msimamo wake na hadi Kutangaza Majina ya Wadhamini ambapo Mzee Kilomoni hayumo )
2. Aombe Kibali kutoka Bodi ya Klabu ya Simba SC ( iliyo chini ya Mwekezaji Mo Dewji na Mwenyekiti wa Klabu Swedi Nkwabi ) ndipo aweze Kufanya huo Mkutano wake na Waandishi wa Habari. ( ikumbukwe kuwa Ugomvi wa Mzee Hamis Kilomoni ni dhidi ya hawa Watu muhimu Wawili wenye dhamana ya Uwekezaji na Uongozi ndani ya Simba SC hivyo sidhani kama na Wao watakuwa Wapumbavu kiasi hicho na waweze kumpa Kibali huyu Mzee ili akawaseme, akawakashifu, akawachafue na hadi akawadhihaki mbele ya Vyombo vya Habari )
Ama hakika hili ni Pigo Kubwa sana kwa Mzee Kilomoni na ndiyo sasa atajua kuwa Tanzania na ndani ya Simba SC kuna Watu wana Akili zilizoshindikana na wanajua kile wanachokifanya na kwamba walikuwa wanamuangalia tu huku wakijua kuwa ni wapi watambana na atashindwa tu hadi Kudharaulika na kuonekana Mpuuzi na kweli Kimetimia.
This is Simba SC
Akhsanteni mno Jeshi la Polisi Tanzania na hasa Mkoa wa Dar es Salaam ( Kanda Maalum )
Poleni sana wale Wote mliokuwa mkimjaza Ujinga na Upumbavu Mzee Hamis Kilomoni.
Mshana why ask for the obvious? Is grass green? Does the sun shine?Ni chama gani kwani huyu mzee
Huyu na Akilimali wanastahili kushughulikiwa, mtu mmoja uwakate stimu watu zaidi ya milioni ishirini halafu ubaki salama, never.Kilomoni Ni mmoja wa wazee waliochangia Sana kuharibu soka la bongo
Ni wapiga Domo tuuuu
Acha washughulikiwe
Swadaktaaa!!!!!!!Na ndiyo wamemponza kwani kinachoenda Kumpata very soon hata hao wana Yanga wanaompa Kiburi hiki na Jeuri hii leo watamkimbia na kumuacha peke yake. Ukweli ni kwamba tayari Serikali kupitia Wizara husika ( Waziri Mwakyembe ) imeshajua kuwa imewatibua wana Simba SC kwa yale Maamuzi yake ya Hisa za Kiuwekezaji ( wakimlenga Kipenzi chetu Mo Dewji ) na sasa wana Simba SC wamekuwa na Chuki na Serikali kiasi kwamba kuna Mpango ulikuwepo kwa wana Simba SC wote leo kutokwenda Uwanja wa Taifa Kuishangilia Timu ya Taifa na hata kama wangeenda basi wangeishangilia Timu ya Kenya na pia wana Simba SC walikuwa wameshaanza Kujipanga Kutoishabikia Serikali ya CCM hali ambayo kwa Kupima Serikali ikagundua kuwa yenyewe ndiyo itaathirika kwakuwa Tanzania nzima ni Simba na Yanga hivyo basi Serikali Kiujanja imeamua Kujikosha kwa wana Simba SC kwa Kuamua Kumbana huyu Mzee Kilomoni ili ionekane kuwa inaipambania Simba SC na iko nao sambamba katika Mipango yao ya Kiuwekezaji chini ya Mo Dewji huku pia ikimnusuru Waziri husika ( Mwakyembe ) ambaye kama isingekuwa ile Taarifa ya Mwekezaji Mo Dewji aliyoitoa jana basi Waziri Mwakyembe Siku ya Simba Day ndiyo angetujua ( angewajua ) vyema wana Simba SC na angeweza hata Kupoteza huo Uwaziri wake na Kujuta. Kwa Tanzania hii Simba na Yanga ni zaidi ya CCM na CHADEMA!
Huyo ni kibaka fulani hivi anayemjaza ujinga huyu kubwa jinga kilomoni,na ni Yanga lialia huyu fikirini.Kuna Nkwabi mwingine anaitwa Fikirini ni nani nani katika club ya simba? Mwenye historia na cheo chake ndani ya simba tafadhari.
Je Nkwabi na mzee Kilomoni ni ndugu?
Polisi msihangaike na huyu Mzee akiitisha mkutano wa kihuni na sisi wahuni tutakuwepo hapo tutamfanyia uhuni ambao hajawahi kufanyiwa ohoooooo mwacheni ajichanganyeee saaasa!Pole sana Mzee Hamis Kilomoni na Siku zingine ujue kwamba nchi hii ni zaidi ya Wewe pamoja na hao Wanaokutuma au Kukutumia. Wenye Akili walikushauri sana kuwa tulia ili uheshimike zaidi lakini ukawadharau hatimaye sasa Maamuzi mapya yaliyotoka yamekumaliza na itakulazimu uwe mpole tu huku Simba SC ikiendelea Kufanya mambo makubwa ya Kimaendeleo chini ya Kipenzi chetu Mwekezaji Mo Dewji.
Taarifa zilizonifikia na ambazo hata hivyo bado naendelea Kuzithibitisha zinasema ya kwamba Jeshi la Polisi nchini Tanzania limempa Masharti Mzee Hamisi Kilomoni ili ayatekeleze ndipo wampe Kibali cha Yeye Kufanya Mkutano wake na Waandishi wa Habari Jumatano ijayo ya tarehe 31 July 2019 katika kile alichokiita huo ni Msumari wa Moto.
Masharti yenyewe ni haya Mawili tu kama yafuatayo ambayo ametakiwa Kuyatekeleza na kama akienda Kinyume nayo na akafanya Mkutano wake huo basi Kitakachomkuta Siku hiyo na Kisheria asije Kumlaumu Mtu kwani hii nchi inaendeshwa na Sheria na taratibu zake....
1. Awe na Barua latest ( ya sasa ) kutoka RITA inayoonyesha kuwa Yeye ni Mdhamini wa Klabu ya Simba SC. ( ikumbukwe kuwa tayari RITA imeshasema kuwa haimtambui Mzee Hamis Kilomoni kama Mdhamini wa Simba SC na ilishatoa Msimamo wake na hadi Kutangaza Majina ya Wadhamini ambapo Mzee Kilomoni hayumo )
2. Aombe Kibali kutoka Bodi ya Klabu ya Simba SC ( iliyo chini ya Mwekezaji Mo Dewji na Mwenyekiti wa Klabu Swedi Nkwabi ) ndipo aweze Kufanya huo Mkutano wake na Waandishi wa Habari. ( ikumbukwe kuwa Ugomvi wa Mzee Hamis Kilomoni ni dhidi ya hawa Watu muhimu Wawili wenye dhamana ya Uwekezaji na Uongozi ndani ya Simba SC hivyo sidhani kama na Wao watakuwa Wapumbavu kiasi hicho na waweze kumpa Kibali huyu Mzee ili akawaseme, akawakashifu, akawachafue na hadi akawadhihaki mbele ya Vyombo vya Habari )
Ama hakika hili ni Pigo Kubwa sana kwa Mzee Kilomoni na ndiyo sasa atajua kuwa Tanzania na ndani ya Simba SC kuna Watu wana Akili zilizoshindikana na wanajua kile wanachokifanya na kwamba walikuwa wanamuangalia tu huku wakijua kuwa ni wapi watambana na atashindwa tu hadi Kudharaulika na kuonekana Mpuuzi na kweli Kimetimia.
This is Simba SC
Akhsanteni mno Jeshi la Polisi Tanzania na hasa Mkoa wa Dar es Salaam ( Kanda Maalum )
Poleni sana wale Wote mliokuwa mkimjaza Ujinga na Upumbavu Mzee Hamis Kilomoni.
Na nyie pelekeni mpunga ili zahera arudishwe bongo Kwa pingu baada kukatalia parisKazi ya Bashite baada ya kuchuka mpunga wa Mo. Hakuna jipya