Mzee huyu naye kuna ulazima wa kuchunguzwa vyeti vyake

bryan2

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2016
Posts
3,323
Reaction score
4,679
Jumla kuu 10-2,Kwetu 5-1 kwao 1-5,Kuna ulazima wa kuhakiki vyeti vya huyu mzee sio kwa mwendo huu.Na wale mashabiki wake hawachelewi kuingia na Mabango game ijayo MZEE OUT,
Huku kwetu wameanza kujitetea kwa Kusema Mzee alipanga Kikosi B sijui kama yana Ukweli Ndani yake hayo au ndo mfa maji tuu...

Hongera ule Upande Mwingine Naona kwenye timu yenu anatoka Smg anaingia Rpg kila mjamaa yupo powa kwenye Timu yenu
THE BAVARIANS.
 
Nitarudi tena baadae wacha kwanza nisubiri vyeti mezani
 
Kuwa shabiki wa arsenal inabidi kuwa na roho ngumu Kama bashite. Kimya Kama kiziwiii
 
Kwahiyo wale wote wanaotumia vyetu vya watu wengine, wanaroho ngumu? hahahaha haaaaaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…