Mzee Joseph Warioba: Nimekusikiliza kwa makini, kuna mahali unapakwepa kupagusa. Rais akisema hili silitaki, watendaji wake wote watamsikiliza

Mzee Joseph Warioba: Nimekusikiliza kwa makini, kuna mahali unapakwepa kupagusa. Rais akisema hili silitaki, watendaji wake wote watamsikiliza

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
1. Umesema polisi wamekuwa wana siasa na kuegemea upande wa CCM. Wanajiingiza katika siasa.

.2. Umewalaumu DED kuvuruga uchaguzi

3. Umekemea kutokuwepo na tume huru ya uchaguzi

4. Na mengin mengi mazuri kabisa

ILA:

1. Mhusika wa haya yote ni rais. Katiba yetu inatupa rais mfalme, kauli yake ni final. Akisema wakurugenzi acha kuingilia chaguzi, watakoma sekunde hiyo hiyo.


2. Akisema katiba mpya ni kesho, itakuwa hivyo


3. Akisema tume huru ya uchaguzi na iwe ni kesho


4. Akisema IGP wambura sitaki utekeji, keho utakoma


Mwambie samia atekeleze hayo usimkwepeshe na wajibu wake huo.



View: https://youtu.be/I8F3JKCgGxg?si=E_Ptja0Izcq2ppqb
 
Watu wakubwa Huwa hawaambiwi hadharani, bali huambiwa huko chumbani. Huku upenuni huambiwa Kwa mafumbo kama hivyo
 
Uboreshaji daftari la kudumu la wapiga kura umeanza, na hivi sasa liko mkoani Arusha.

Swali langu ni je, kwa figisu zilizofanywa ktk uchaguzi wa S/Mitaa, watu watajitokeza???
 
Back
Top Bottom