Mzee Kabwanga

Mzee Kabwanga

Member
Joined
Apr 27, 2012
Posts
68
Reaction score
18
MKATABA WA HALI BORA WA WAFANYAKAZI TANZATE ONE WAELEKEA KUSAINIWA NA MENEJIMENTI. Hivi ni wakati gani kisheria mwajiri anatakiwa kusaini mkataba wa hali bora kwa wafanyakazi ? Maana huu wa wafanyakazi wa Tanzanite one umechukua muda mrefu kusainiwa takiribani miaka 3 .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…