PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,199
- 8,761
Jana (20/09/09) nikiwa naangalia kipindi cha Maisha Plus, MASOUD KIPANYA na Wenzake wakiwa Mkoani Mbeya, walikuwa wakiandika maneno kwenye makaratasi na kuwaonyesha wale vijana wanaoingia kwenye usaili ili wasome maneno hayo kwa usahihi.
Lakini kilichonisikitisha ni pale walipoweka neno PHNEUMONIA, ambalo halipo kabisa katika lugha ya Kidaktari au kwenye dictionary!
Nadhani hawa ndugu walimaanisha PNEUMONIA. Matokeo yake , wakawafanya wale vijana washindwe kulisoma neno hilo, na hatimaye waone usaili ni mgumu kuliko ilivyotegemewa!
Wale vijana wanaonekana kuwa na Matumaini ya juu sana na ule usaili, na wanaweka hadi senti yao ya mwisho, wakitumaini kusonga Mbele! Lakini, kwa makosa kama hayo ya akina Masoud, wanakuta ndoto zao zinagonga mwamba. Mnasemaje waungwana?
MUNGU SAIDIA VIJANA HAWA!..........WOTE SEMENI `AMINA`.
Lakini kilichonisikitisha ni pale walipoweka neno PHNEUMONIA, ambalo halipo kabisa katika lugha ya Kidaktari au kwenye dictionary!
Nadhani hawa ndugu walimaanisha PNEUMONIA. Matokeo yake , wakawafanya wale vijana washindwe kulisoma neno hilo, na hatimaye waone usaili ni mgumu kuliko ilivyotegemewa!
Wale vijana wanaonekana kuwa na Matumaini ya juu sana na ule usaili, na wanaweka hadi senti yao ya mwisho, wakitumaini kusonga Mbele! Lakini, kwa makosa kama hayo ya akina Masoud, wanakuta ndoto zao zinagonga mwamba. Mnasemaje waungwana?
MUNGU SAIDIA VIJANA HAWA!..........WOTE SEMENI `AMINA`.