Kenya 2022 Mzee Kikwete afurahishwa na Ushindi wa wagombea binafsi Kenya. Asema wakati mwingine Vyama huwanyima fursa vipenzi wa wananchi

Kenya 2022 Mzee Kikwete afurahishwa na Ushindi wa wagombea binafsi Kenya. Asema wakati mwingine Vyama huwanyima fursa vipenzi wa wananchi

Kenya 2022 General Election

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Rais mstaafu mzee Kikwete amefurahishwa na Ushindi wa baadhi ya wagombea binafsi wa nafasi za juu katika Uchaguzi wa Kenya

Vyama vya siasa vinaweza kuwanyima fursa watu wanaohitajika na kupendwa na wananch lakini fursa ya mgombea binafsi huwa suluhisho, amesema

Kwa mfano mshindi mmoja wa Ubunge alishindwa kwenye kura za maoni kule Jubilee na amegombea kama private candidate na kumshinda yule yule jamaa waliyechuana naye kwenye chama

Chanzo: Citizen tv
 
JK amwambie Kenyatta amkabidhi Rutto nchi kwa amani.
Hizi delay tactics za kupika matokeo ambazo naamini kwa sasa ndio zinafanyika ili kumshindisha Raila, may set that country ablaze...
 
JK amwambie Kenyatta amkabidhi Rutto nchi kwa amani.
Hizi delay tactics za kupika matokeo ambazo naamini kwa sasa ndio zinafanyika ili kumshindisha Raila, may set that country ablaze...
JK ana influence gani Kenya hadi amwambie Kenyatta? Kenya is for Kenyans and Tanzania is for Tanzanians
 
Rais mstaafu mzee Kikwete amefurahishwa na Ushindi wa baadhi ya wagombea binafsi wa nafasi za juu katika Uchaguzi wa Kenya

Vyama vya siasa vinaweza kuwanyima fursa watu wanaohitajika na kupendwa na wananch lakini fursa ya mgombea binafsi huwa suluhisho, amesema

Kwa mfano mshindi mmoja wa Ubunge alishindwa kwenye kura za maoni kule Jubilee na amegombea kama private candidate na kumshinda yule yule jamaa waliyechuana naye kwenye chama

Chanzo: Citizen tv
Mnisamehe sana, Kikwete is hopeless. Alikuwa rais alikataa kurekebisha katiba kuweka kipengele hicho leo anabwabwaja. a ngalau kipengele hicho angelikishinikiza kikawepo wakati yupo madarakani, leo analeta uswahili wa bagamoyo!
 
JK amwambie Kenyatta amkabidhi Rutto nchi kwa amani.
Hizi delay tactics za kupika matokeo ambazo naamini kwa sasa ndio zinafanyika ili kumshindisha Raila, may set that country ablaze...
Inatakiwa 50% + 1
 
Nikikumbuka Magufuli alivyokata jina la Chenge. Kungekuwa na wagombea huru hata mimi ningekuwa mbunge wa jimbo la Busega. Sema sasa hivi mpaka uwapigie magoti kina Kinana. Maana hata ukipata kura nne za wajumbe,kama upo vizuri na Kinana basi jua jina lako litapita na utakuwa mbunge.
 
Back
Top Bottom