Kwani 2025 anagombea?Rais wa awamu ya 4 mzee Kikwete Leo amesafiri kwa TREN ya SGR kutoka Dar es salaam hadi Morogoro na kusema safari yao wametumia muda wa saa 1 na dakika 49 tu
Mzee Kikwete amesema mradi wa SGR iliasisiwa na hayati Mkapa na ilipofika awamu ya Shujaa Magufuli ndio alianza Kuutekeleza lakini kwa bahati mbaya hakushuhudia matunda ya Juhudi zake
Mzee Kikwete amemshukuru Sana Mpendwa Wetu Mh Rais Samia kwa kuendelea kuukamilisha mradi huu ambapo Kesho Treni ya SGR itatoka DAR ES SALAAM hadi Dodoma ambayo ni mafanikio ya kihistoria
Source: ITV Habari
Kwani 2025 anagombea?Rais wa awamu ya 4 mzee Kikwete Leo amesafiri kwa TREN ya SGR kutoka Dar es salaam hadi Morogoro na kusema safari yao wametumia muda wa saa 1 na dakika 49 tu
Mzee Kikwete amesema mradi wa SGR iliasisiwa na hayati Mkapa na ilipofika awamu ya Shujaa Magufuli ndio alianza Kuutekeleza lakini kwa bahati mbaya hakushuhudia matunda ya Juhudi zake
Mzee Kikwete amemshukuru Sana Mpendwa Wetu Mh Rais Samia kwa kuendelea kuukamilisha mradi huu ambapo Kesho Treni ya SGR itatoka DAR ES SALAAM hadi Dodoma ambayo ni mafanikio ya kihistoria
Source: ITV Habari
Yaliyofeli bu mengi kuliko yaliyofaulukwani uuzwaji wa mashirika ya umma alikosea (Mkapa) wapi? mbona mengi leo yanafanya vizuri sana tu?
Ni nyerere na mkapa ndio maraisi waliokawa na akili nyingi sanaMwalimu anapaswa awe "Babu wa Taifa" na Mkapa awe "Baba wa Taifa".
TRA ilianza 01 July 1996
Kabla ya Hapo haikuwa na Commissioner General ila walikuwepo makamishna 3 Income tax, Sales tax na Customs ambao waliwajibika direct Kwa Waziri wa Fedha
Hadi afe boss tukisubiri tuUyu mzee akifa nitakesha bar nanunulia watu bia
Kwan bongo kuna vijana wenye uthubutu kama yule alotaka kumtungua trump?Hadi afe boss tukisubiri tu
Yaliyofeli bu mengi kuliko yaliyofaulu
Unataka urithi nini chakeKwan bongo kuna vijana wenye uthubutu kama yule alotaka kumtungua trump?
Mutex, mwatex, urafiki, mang’ula, spn, Moro shoes, genera tyre, TPI, Uzi bora, tumbaku etcmifano labda?
Haha wazo la mkapa halafu yeye akaangalia Tu miaka 10 akamaliza bila kufanya chochote [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mzee anazeeka vibaya sana
Haya mambo ya kesi za ufisadi wa mawaziri, tena wa fedha achana nayo...sasa mbona mawaziri wake waliomsaidia ktk wizara ya fedha, kwa maana, Daniel Yona, na Basil Mramba, wakaishia kwenye kushtakiwa kwa ufisadi?
Ufisadi upi na upi ambao ni "mkubwa sana" kwenye awamu ya Mkapa ukamsumbua Kikwete!!??Tatizo kulifanyika ufisadi mkubwa Sana awamu yake kiasi kwamba alimsababishia Kikwete kusumbuka na kashifa na kesi za ufisadi huo.
TRC ilikua ishajifia,japo ndiyo wahindi wa TRL walikua wajanja wajanjaUOngo mtupu ndiye aliyeshirikiana na wahindi kuua reli yetu kisa biashara ya usafirishaji na mafuta
uongo, kikwete alikuta au alirithi a very healthy and stable economy, alikuta foreign reserve kubwa, export ziliongezeka hasa mining dhahabu to be specific, hazina aliikuta ikiogelea kwenye fedha …
Ufisadi ulikuwepo,Ila kumsimbua kikwete,Hilo sielewi kivipi,lakini mkapa alijimilikisha kiwira, kikwete akampora na kuirudisha ' serikalini ',mrabaha wa 3% kikwete kahangaika kidiplomasia mpaka kuweka sheria ya 16%Ufisadi upi na upi ambao ni "mkubwa sana" kwenye awamu ya Mkapa ukamsumbua Kikwete!!??