mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,707
Hakika napita shida kujua kwanini Mzee Kilomoni hakubali kuwa yeye si Mdhamini wa Klabu ya Simba.Nasema hivi kutokana na kauli ya RITA kuwa katika orodha ya Wadhamini wa Klabu ya Simba jina la Mzee Kilomoni halipo hivyo RITA hawamtambui Mzee Kilomoni.Hivi kweli Mzee Kilomoni hulijui hilo au unawadanganya wananchi ? Ni vema Mzee Kilomoni ukakubaliana na ukweli na kama sivyo basi fungua kesi Mahakamani kudai Udhamini wako ili kama uliondolewa kienyeji haki yako ipatikane vinginevyo Waache Viongozi wa Klabu ya Simba wachape kazi.