babumapunda
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 4,643
- 3,301
1.Mo ni mfadhiri wa Simba au ni Mmiliki wa Simba?
2.Kama ni Mmiliki huo Umiliki umekamilika lini? hizo 49% kazipata lini? Pesa zake ziko wapi?
3.Kama yeye ana 49% na Club ina 51 % kwanini yeye ndio Rais wa Club na yeye ndio anateua Mtendaji mkuu wa Timu ?
4.Na kwanini Mo awe mmiliki wa Timu kwa 49% ? huyu mwenye 51% ataitwa nani?
5.Ni kwanini Mo anajiita Mmiliki wa timu kwa sababu tu ya kusajili wachezaji na kulipa mishahara? hilo tu linatosha kuwa mmiliki?
6.Kwanini Yanga waligoma kumkodisha Manji timu kwa bilion 30 kwa miaka 10 wakati Simba imekubali kuuza timu jumla kwa bilion 20 ambazo hata hazijulikani ziko wapi?
2.Kama ni Mmiliki huo Umiliki umekamilika lini? hizo 49% kazipata lini? Pesa zake ziko wapi?
3.Kama yeye ana 49% na Club ina 51 % kwanini yeye ndio Rais wa Club na yeye ndio anateua Mtendaji mkuu wa Timu ?
4.Na kwanini Mo awe mmiliki wa Timu kwa 49% ? huyu mwenye 51% ataitwa nani?
5.Ni kwanini Mo anajiita Mmiliki wa timu kwa sababu tu ya kusajili wachezaji na kulipa mishahara? hilo tu linatosha kuwa mmiliki?
6.Kwanini Yanga waligoma kumkodisha Manji timu kwa bilion 30 kwa miaka 10 wakati Simba imekubali kuuza timu jumla kwa bilion 20 ambazo hata hazijulikani ziko wapi?