Heshima wakuu; Nina mzee jirani yangu mwenye umri karibu miaka 70 sasa. Amepata tatizo la kutoka damu wakati wa haja ndogo hasa anapomaliza. Vipimo vya mkojo na hata kichocho vimeonyesha negative (hakuna tatizo) na hana home wala malaria wala ugonjw amwingine wowote na hasikii maumivu yoyote.
Naomba msaada nini kinaweza kuwa tatizo na hatua zipi achukue kwa sasa.
cc
MziziMkavu